Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Utamaduni na Sayansi, UNESCO, imeanza kuandaa mchakato wa kuhifadhi utamaduni usioshikika. Mfumo huo unalenga kuhifadhi, nyimbo, ngoma, asili za jadi miongoni mwa mambo mengine. Msikilize Alex Mchomvu katika makala hii ya utamaduni na sanaa.