You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Kimilimo cha mjini
Kimilimo cha mjini
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Shirika la UNEP latoa taarifa kuhusu hali ya mazingira duniani
Shirika la mazingira la umoja wa mataifa UNEP, leo limetoa taarifa yake ya kila baada ya miaka 20 kuhusu hali ya mazingira duniani kote.
Mkutano wa mazingira wa rais Bush ni kiini macho
Baada ya miaka kadha ya kukanusha , mkutano uliodhaminiwa na Ikulu ya Marekani kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa, umemalizika siku ya Ijumaa huku rais George W. Bush akikiri kuwa ongezeko la ujoto duniani ni suala ambalo halikaniki na binadamu wanahusika na amewataka viongozi wa mataifa kuungana nae mwaka ujao katika mkutano mwingine.
Washington. Marekani yakataa kuweka ulazima wa kila nchi kuweka viwango vya kupunguza gesi zinazochafua mazingira.
FRANKFURT:Kansela Merkel asisitiza kutunza mazingira
FRANKFURT: Magari mapya kupunguza uchafuzi wa mazingira
TOKYO: Waziri wa kilimo wa Japan ajiuzulu
BERLIN: Merkel atetea ajenda ya kuhifadhi mazingira
COPENHAGEN: Juhudi za kulinda mazingira ziimarishwe
Mradi wa kupambana na jangwa kuwapatia wakaazi wa Misr maeneo ya kilimo.
Unaweza kupanda chochote hapa, anasema Mohammed Ahmed mwenye umri wa miaka 76, akinyoosha mikono yake kuonyesha eneo lililomea mimea pamoja na miembe ambayo imesheheni maembe karibu kuvunja matawi. Lakini anaendelea kusema Mohammed alipofika mwanzo katika eneo hilo halikuwa na kitu bali jangwa tupu.
Kilimo na Wakulima
Umuhimu wa nyuki katika kilimo
Maoni yetu juu ya tumbuizo la muziki,kuhamasisha ulinzi wa mazingira
Wanamuziki mashahuri duniani kote walipanda majukwaani na kutumbuiza kwa lengo la kuwahamasisha watu juu ya ulazima wa kupambana na ongezeko la joto duniani.
NEW YORK : Nyota wa muziki wapigia debe mazingira
London.Tamasha la muziki kupambana na uharibifu wa mazingira lafana.
NEW YORK: Kilimo cha mipopi kimeongezeka Afghanistan
COLOGNE: Jamii na mazingira yapaswa kuheshimiwa
BERLIN:Bush aahidi kushirikiana na wenzake katika masuala ya mazingira
Mkakati wa Bush kuhusu mazingira
Rais George W.Bush wa Marekani,amependekeza mkakati mpya wa kushirikiana na mataifa mengine kwa azma ya kuanzisha mfumo mpya kuhusu njia za kupunguza gesi zinazoathiri mazingira.
Hamburg. Mawaziri wasigana juu ya upunguzaji wa gesi zinazoharibu mazingira.
BERLIN: Msimamo wa Marekani kuhusu mazingira wasikitisha
Berlin. Pelosi azunguzia mazingira.
TOKYO: Waziri wa kilimo wa Japan ajinyonga
BERLIN : Merkel ataka kupunguzwa gesi zinazoathiri mazingira
Bremen. SPD kuunda serikali na chama cha walinzi wa mazingira Greens.
Haki ya mazingira kuanzishwa
Mada mpya iitwayo ´haki ya mazingira´ inaukabili mjadala juu ya mabadiliko ya hali ya hewa duniani. Mwandishi wetu Monika Hoegen anaripoti juu ya mjadala wa mazingira unaondelea.
NEW YORK : Makubaliano ya mazingira yamekwenda kombo
Umoja wa Ulaya na mazingira
Moshi unaochafua mazingira kutoka nchi zanachama wa Umoja wa Ulaya utaongezeka zaidi kuliko zinavyodai nchi hizo.;Kikundi ,kinachotetea mazingira-Friends of the Earth-kimegundua hayo.
Mkutano wa Kilimo mjini Kigali,Rwanda
Mjini Kigali leo umeanza mkutano wa siku tatu.
Waziri wa mazingira wa Ujerumani aridhika na matokeo ya mkutano wa Postdam
POTSDAM: Ushirikiano muhimu kuhifadhi mazingira
Juhudi za kuhifadhi mazingira
Mkutano wa mawaziri wa mazingira wa nchi 8 tajiri kwa viwanda na wenzao wa nchi 5 zinazoinukia
BERLIN: Merkel amesifu mradi wa Blair kuhusu mazingira
Umoja wa mataifa, New York. Katibu mkuu afisu makubaliano ya umoja wa Ulaya kuhusu mazingira
HAMBURG: Kansela Merkel asifu juhudi za kulinda mazingira
BERLIN: Nchi za viwanda zipunguze zaidi uchafuzi wa mazingira
OSLO: Mazungumzo kuhusu mazingira yakwama
New York:Makampuni yatetea hifadhi ya mazingira
BRUSSELS : Mawaziri wa mazingira wa Ulaya wakutana
Berlin: Mkuu wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa ataka kuweko kodi ya ziyada kwa tiketi za ndege
Beijing. Mazingira mada kuu katika mkutano na kati ya Wajerumani na Wachina.
BRUSSELS: Ulaya ipunguze uchafuzi wa mazingira
Mkutano wa mazingira mjini Nairobi
Juhudi za kupunguza uchafuzi wa mazingira
Kampeni inayoongozwa na Umoja wa Mataifa kupambana na kuongezeka kwa ujoto duniani,huenda ikawa na mabadiliko yatakayoweza kuzivutia nchi zaidi kama vile Marekani na China,baada ya mwaka 2012.
LONDON: Wito wa kuchukua hatua zaidi kulinda mazingira
Helsinki. Viongozi wajadili kuhusu uchafuzi wa mazingira.
Watoto wanasaidia kusafisha mazingira
Miradi ya maendeleo daima huchukuliwa kuwa imefanikiwa,pale malengo mengi iwezekanavyo yanapotimizwa bila ya kuwa na gharama nyingi.
Beijing: Matatizo ya Mazingira katika Uchina yamekithiri.
Mkutano wa Mazingira waendelea Kanada
Marafiki wakubwa wa Marekani wameonyesha matumaini yao kuwa wanaweza kuishawishi nchi hiyo yenye wasiwasi kuhusu mbinu mpya za kupambana na kuongezeka kwa ujoto duniani katika mkutano wa Mazingira unaohudhuriwa na Wajumbe kutoka nchi 189 mjini Montreal, Kanada.
Mazingira yasababisha aina mpya ya wakimbizi
Warsha juu ya mazingira na amani ilimalizika jana katika eneo la Wesseling hapa mjini Bonn. Mada kuu iliyojadiliwa ni tatizo kubwa la wakimbizi wa mazingira.
Kigali. Mawaziri wa kilimo wa Afrika wataka kuimarishwa zaidi ulinzi dhidi ya virusi vya homa ya ndege.
STOCKHOLM : Tuzo Mbadala ya Nobel kwa wanaharakati wa haki za binaadamu na mazingira
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 15 wa 16
Ukurasa unaofuatia