You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Kimilimo cha mjini
Kimilimo cha mjini
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
UN: Moto wa nyika unachochea uchafuzi wa hewa
Moto wa nyika unachochea uchafuzi wa hewa na kusababisha madhara makubwa kwa afya ya binaadamu na mazingira.
Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma
Wanafunzi wamerudi shule lakini ukosefu wa usalama na hali mbaya ya kiuchumi kumewaathiri pakubwa maelfu ya wananchi.
Ogiek wanapigania kurejea msituni Mau
Jamii ya Ogiek nchini Kenya inapigania kurejesha ardhi ya mababu zao katika msitu wa Mau. Jamii hiyo imeishi msituni humo kwa muda mrefu japo serikali ya Kenya imewalazimisha kuondoka.
Mazungumzo ya UN kuhusu mkataba wa plastiki yarefushwa
Uzalishaji wa plasitiki utaongezeka mara tatu kufikia mwaka 2060 na kuathiri zaidi dunia na binadamu.
Siku ya Tembo Duniani
Ni kwenye Mbuga ya Kitaifa ya Tsavo, inayokaliwa na tembo wakubwa kabisa barani Afrika na wanyama wengine. Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Tembo, juhudi za uhifadhi, kupambana na ujangili na namna bora ya kukabiliana na uvamizi kwenye maeneo ya binaadamu, zinasaidia kuwanusuru wanyama hawa. #kurunzi
Msanii anayepambana na uchafuzi wa taka Kinshasa
Katika wilaya ya Limete mjini Kinshasa, taka zenye sumu zimetanda barabarani na kuziba njia za maji. Nyingi huishia kwenye Mto Djili, chanzo kikuu cha maji ya kunywa jiji humo. Sasa mto huo umejaa uchafu, zikiziba barabara na kutatiza maisha ya kila siku kwa wakaazi.
Mazungumzo ya plastiki yafichua unafiki wa mataifa tajiri
Ingawa yanajitokeza kuunga mkono mkataba huo, wachambuzi wa mazingira wanasema kauli zao hazilingani na mchango wao.
Kenya yatoa mafunzo ya magari ya umeme kwa madereva wake
Licha ya wamiliki wa magari binafsi Kenya kuzidi kununua magari ya umeme, bado nchi hiyo haina magari ya aina hiyo katika sekta ya usafiri wa umma. Baadhi ya wadau wamezindua mpango wa mafunzo wa magari hayo, unaolwaenga madereva wa usafiri wa umma, wakihimiza matumizi yake yana faida nyingi.
Uhifadhi wa mti wa shea ni biashara nyeti nchini Uganda
Mti wa shea ni muhimu sana si tu kwa uhifadhi wa mazingira katika ukanda kati ya Uganda na Ghana barani Afrika lakini pia kama kitega uchumi nyeti kwa jamii zinazoishi maeneo hayo. Tukichukua mfano wa Kaskazini mwa Uganda, mti huo pamoja na mazao yake umekuja kuthaminiwa sana baada ya watu kufahamu manufaa yake endelevu kwa maisha yao badala ya wao kuikata kwa ajili ya mkaa na kuni.
Mazungumzo ya mkataba wa plastiki yaendelea Geneva
Mazungumzo ya kujaribu kukamilisha mkataba wa kihistoria wa kimataifa wa kukomesha janga la uchafuzi wa plastiki.
Juhudi za kupambana na uchafuzi wa plastiki zaendelea Geneva
Wajumbe kutoka mataifa 160 wanakutana Geneva kujaribu kufikia makubaliano ya kukabiliana na uchafuzi wa plastiki.
Mkutano wa kimataifa juu ya plastiki wafanyika Geneva
Wawakilishi wa visiwa wanapigania kusainiwa mkataba huo muhimu kwa vita dhidi ya uchafuzi wa mazingira.
Mataifa ya magharibi ´yakabwa koo´ athari za plastiki
Mashinikizo mapya yameibuliwa dhidi ya mataifa ya Magharibi kuhusiana na athari za plastiki.
Msichana anayetumia taka za plastiki kubuni bidhaa
Sarafina ni msichana mbunifu anayetumia taka za plastiki kubuni bidhaa.
Mamilioni warejea nyumbani baada ya Tsunami kupungua
Shughuli nyingi za kiuchumi zilivurugwa kutokana na kitisho cha Tsunami kwenye eneo la pwani ya Bahari ya Pasifiki
Vijana waanza kurekodi vitendo vya uhalifu Goma
Lengo la vijana hao ni kutaka haki itendeke pale muda na mazingira vitakaporuhusu.
ICJ yachukuwa jukumu dhidi ya ongezeko la joto duniani
Maoni ya ushauri kama ya mahakama ya ICJ hayalazimishwi kisheria, lakini yana umuhimu mkubwa.
UNESCO yasifu maboresho ya sheria za mitandao Tanzania
Ni mkutano unaotathmini mafanikio, changamoto na malengo ya baadaye ya sekta za habari barani Afrika.
Wataalamu wakutana Dar es Salaam kujadili kilimo na lishe
Kulingana na WFP, watu zaidi ya milioni 295 katika nchi 53 walikumbwa na njaa kali mwaka 2024
UN yapunguza misaada duniani baada ya ufadhili kupungua
Mashirika la FAO na WFP yametoa onyo la mapema kubainisha njaa inayozidi kuwa mbaya katika maeneo 13 yenye joto kali.
Kuzagaa kwa taka Dar es Salaam, Tanzania
Isikilize makala ya Mtu na Mazingira ambayo leo inaangazia changamoto ya kuzagaa kwa taka huko Dar es Salaam, Tanzania na jinsi ya kukabiliana na changamoto hiyo ambayo imekuwa kero kwa wakaazi wa mji huo. Anuary Mkama ndiye aliyeiandaa makala hii.
Binti aliyejitosa kutunza mazingira Tanzania
Msichana jasiri wiki hii inamulika juhudi zinazofanywa na binti Ilakiza katika uhamasishaji wa kutunza mazingira nchini Tanzania. Anawaelemisha vijana wenzake kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa mazingira, na umuhimu wa kuhifadhi vyanzo vya maji na misitu. #msichanajasiri #vijana #mazingira #tabianchi #tanzania
Mataifa yatoa wito wa kuwepo mkataba wa plastiki wenye nguvu
Nchi 90 zimetoa wito wa kusainiwa mkataba wa kimataifa wa kudhibiti uzalishaji wa plastiki, kabla ya kuanza mazungumzo.
Mkutano wa Kimataifa wa maswala ya bahari waanza Ufaransa
Kaulimbiu kuu ya Mkutano ni: Kuharakisha hatua na kuhamasisha wadau wote kulinda na kutumia bahari kwa njia endelevu.
Moto wachochea kasi ya kutoweka kwa misitu Brazil
Msimu wa majanga ya moto uliovunja rekodi mwaka jana nchini Brazil ulisababisha kutoweka kwa kasi kwa misitu wa Amazon.
Changamoto ya marufuku ya matumizi ya plastiki nchini Kenya
Ingawa Kenya ilichukua hatua ya kupiga marufuku mifuko ya plastiki miaka iliyopita, bado uchafuzi wa plastiki umeenea.
Malengo ya kupunguza viwango vya joto duniani hayatafikiwa
Kiwango hicho kinamaanisha patatokea majanga kama vile mafuriko sehemu mbalimbali za dunia kutokana na mvua kubwa.
UN yasema malengo ya kupunguza joto duniani hayatafikiwa
Ina maana dunia inatarajiwa kusalia katika viwango vya juu vya joto baada ya kushuhudiwa joto kali zaidi 2023 na 2024.
Umoja wa Falme za Kiarabu warikodi viwango vya juu vya joto
Umoja wa Falme za Kiarabu umekuwa ukikabiliwa na hali ya joto kali kuliko kawaida wakati wa msimu wa kiangazi.
Wakulima wa parachichi Kenya wanufaika na uvumbuzi mpya
Uvumbuzi huo umeyabadili maisha ya wakulima wa Meru ambao nondo walikuwa wakivamia maparachichi na kusababisha hasara.
Biashara ya maziwa ya wanawake wa Nandi nchini Kenya
Wanawake wa eneo la Nandi wana kila sababu ya kutabasamu baada ya kuja pamoja na kuimarisha biashara yao ya maziwa.
Tanzania yaondoa marufuku ya uagizaji wa mazao ya kilimo
Wizara ya kilimo ya Tanzania ilipiga marufuku uagizaji wa mazao yote ya kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini.
Tanzania: Marufuku mazao ya kilimo kutoka Malawi na A.Kusini
Wiki iliyopita, Tanzania ilitoa taarifa ya kuyataka mataifa hayo kubadili misimamo yao hadi jana siku ya Jumatano
Tanzania: Bashe azuia bidhaa kutoka Malawi na Afrika Kusini
Hatua ya Tanzania kuzuia bidhaa kutoka Malawi na Afrika Kusini na ya muda.
Teknolojia ya kisasa ya kilimo cha kumwagilia maji, Kenya
Teknolojia ya kisasa inatumia nishati ya sola kusambaza maji yanayotoka mto Thiba hadi mashambani kijijini Gachuriri.
Kongo yatahadharisha kuhusu Kimeta kwa wanyama
Zaidi ya viboko 50 wamekufa ndani ya kipindi cha wiki mbili, kutokana na kimeta nchini Kongo.
Mtu na Mazingira: Tanzania na mradi wa Kijani Hai
Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini Tanzania, Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), wameanzisha Mradi wa Kijani Hai. Kijani Hai ni mpango ulioanzishwa 2017 nchini Tanzania na unaolenga uhifadhi wa mazingira, upandaji miti, na kuhamasisha matumizi endelevu ya rasilimali asili.
UN: Majanga ya mazingira yaliwaacha wengi bila makazi 2024
Nchini Msumbiji, karibu watu laki moja waliachwa bila makao kutokana na kimbunga Chido.
Uhaba wa maji mkoani Kagera, Tanzania
Uharibifu wa vyanzo vya maji unachangia katika uhaba wa maji Kagera, Tanzania. Wakati nchi zikiendelea kuhimizwa kulinda mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, nchi na jamii zinajizatiti kuchukua hatua ili kuhakikisha jamii inatambua jukumu lake katika kulinda mazingira.
Ripoti: Idadi kubwa ya watu duniani huvuta hewa chafu
Wanasayansi wanasema: "Kuvuta hewa chafu kwa muda mrefu kunasababisha magonjwa."
Usalama wa miundombinu ya gesi na changamoto zake
Tanzania imekuwa ikifanya utafiti kuhusu ugunduzi wa gesi asilia kwa zaidi ya miaka hamsini, na ugunduzi wa kwanza ulifanyika mwaka 1974 katika kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi na baadaye mkoani Mtwara. Lakini usalama wa miundombinu ya gesi na changamoto zake kwa mazingira ni zipi?
Marekani yajiondoa kufadhili miradi ya mazingira
Makubaliano hayo yalikuwa ni kuelekea juhudi za kuingia kwenye matumizi ya nishati isiyoharibu mazingira.
Kodi za Trump zatishia bidhaa za kilimo za Marekani
Uamuzi wa Rais Trump kuiwekea China ushuru wa ziada inatishia kufufua vita vya kibiashara kati ya madola hayo mawili.
Japan yapambana na moto mkubwa wa nyika kuwahi kushuhudiwa
Mamlaka za Japan zimesema moto huo wa nyika ni mkubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa.
Mapinduzi ya Jikoni: Teknolojia safi ya kulisha nusu milioni
Katika jiko hili la kisasa, hakuna moshi, hakuna mashizi—ni mvuke tu unaofuka!
Makubaliano ufadhili wa baioanuwai yafikiwa Cop16
Wawakilishi kutoka nchi 200 wamekubaliana kuhusu mpango wa ufadhili wa ulinzi wa mazingira na baioanuai.
Mkutano wa bionauwai wafikia makubaliano
Wajumbe kutoka mataifa takribani 200 wamekubaliana juu ya mpango wa ufadhili wa ulinzi wa maumbile asili na viumbe hai.
Macron asema atamuhimiza Trump kutoweka ushuru mpya
Tangu aingie madarakani mwezi uliopita, Trump ametangaza ushuru mpya katika sekta mbalimbali.
Mkutano wa sekta ya kahawa Afrika wafanyika Dar e saalam
Wito huo umetolewa wakati ambapo kiwango cha kibiashara kwa zao hilo kinaendelea kuporomoka barani humo.
Mazingira vs. uchumi: Je, Ujerumani inapaswa kuchagua?
Wataalamu wanahofu kwamba wanasiasa wanapambanisha ulinzi wa mazingira na ukuaji wa uchumi. Hii itakuwa na athari zipi?
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 16
Ukurasa unaofuatia