You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Kimilimo cha mjini
Kimilimo cha mjini
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
UN: Moto wa nyika unachochea uchafuzi wa hewa
UN: Moto wa nyika unachochea uchafuzi wa hewa
Moto wa nyika unachochea uchafuzi wa hewa na kusababisha madhara makubwa kwa afya ya binaadamu na mazingira.
Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma
Wanafunzi warejea shuleni katika mazingira magumu Goma
Wanafunzi wamerudi shule lakini ukosefu wa usalama na hali mbaya ya kiuchumi kumewaathiri pakubwa maelfu ya wananchi.
Msanii anayepambana na uchafuzi wa taka Kinshasa
Msanii anayepambana na uchafuzi wa taka Kinshasa
Katika wilaya ya Limete mjini Kinshasa, taka zenye sumu zimetanda barabarani na kuziba njia za maji. Nyingi huishia kwenye Mto Djili, chanzo kikuu cha maji ya kunywa jiji humo. Sasa mto huo umejaa uchafu, zikiziba barabara na kutatiza maisha ya kila siku kwa wakaazi.
Mazungumzo ya plastiki yafichua unafiki wa mataifa tajiri
Mazungumzo ya plastiki yafichua unafiki wa mataifa tajiri
Ingawa yanajitokeza kuunga mkono mkataba huo, wachambuzi wa mazingira wanasema kauli zao hazilingani na mchango wao.
Kenya yatoa mafunzo ya magari ya umeme kwa madereva wake
Kenya yatoa mafunzo ya magari ya umeme kwa madereva wake
Licha ya wamiliki wa magari binafsi Kenya kuzidi kununua magari ya umeme, bado nchi hiyo haina magari ya aina hiyo katika sekta ya usafiri wa umma. Baadhi ya wadau wamezindua mpango wa mafunzo wa magari hayo, unaolwaenga madereva wa usafiri wa umma, wakihimiza matumizi yake yana faida nyingi.
Uhifadhi wa mti wa shea ni biashara nyeti nchini Uganda
Uhifadhi wa mti wa shea ni biashara nyeti nchini Uganda
Mti wa shea ni muhimu sana si tu kwa uhifadhi wa mazingira katika ukanda kati ya Uganda na Ghana barani Afrika lakini pia kama kitega uchumi nyeti kwa jamii zinazoishi maeneo hayo. Tukichukua mfano wa Kaskazini mwa Uganda, mti huo pamoja na mazao yake umekuja kuthaminiwa sana baada ya watu kufahamu manufaa yake endelevu kwa maisha yao badala ya wao kuikata kwa ajili ya mkaa na kuni.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Teknolojia ya kisasa ya kilimo cha kumwagilia maji, Kenya
Teknolojia ya kisasa inatumia nishati ya sola kusambaza maji yanayotoka mto Thiba hadi mashambani kijijini Gachuriri.
Kodi za Trump zatishia bidhaa za kilimo za Marekani
Uamuzi wa Rais Trump kuiwekea China ushuru wa ziada inatishia kufufua vita vya kibiashara kati ya madola hayo mawili.
Mazingira vs. uchumi: Je, Ujerumani inapaswa kuchagua?
Wataalamu wanahofu kwamba wanasiasa wanapambanisha ulinzi wa mazingira na ukuaji wa uchumi. Hii itakuwa na athari zipi?
Dunia inakabiliwa na uharibifu wa ardhi ya kilimo
Kuenea kwa jangwa kunatokana na uharibifu wa ardhi ambapo ardhi yenye rutuba inapoteza tija kubwa ya kibaolojia.
Mashirika ya kiutu yaonya juu ya kitisho cha njaa duniani
Hali mbaya ya hewa ni sababu kuu huku ukosefu wa usawa wa kiuchumi na madeni makubwa katika nchi.
Vijana waitisha maandamano zaidi duniani ya mazingira
Hapa Ujerumani miji kadhaa inafanya maandamano hayo ingawa kunatarajiwa idadi ndogo kulinganisha na kipindi cha nyuma.
Maudhui yote (765) kwenye mada hii