Kampeni ya kidijitali dhidi ya GBV yazindulia Kenya
Matangazo
Wizara ya Jinsia ya Kenya imetangaza kuwa zaidi ya kesi 100 za mauaji ya wanawake zimeripotiwa katika kipindi cha miezi sita iliyopita. Nafasi ya kidijitali inaelezewa kama zana muhimu ya kujibu na kuzuia matukio haya. Kwenye makala ya Sema Uvume hii leo, tunachanganua namna teknolojia hii inavyoweza kupambana na unyanyasaji wa kijinsia. Karibu, jina langu ni Wakio Mbogho.