Kenya yaapa kuwahifadhi tembo
4 Oktoba 2011Matangazo
Eric Ponda anazungumzia juhudi za kuwahisabu na kuwahifadhi tembo katika mbuga za Afrika ya Mashariki kwa ujumla na mahsusi kabisa nchini Kenya.
Mtayarishaji/Msimulizi: Eric Ponda
Mhariri: Othman Miraji