Kenya imezindua kampeni ya siku 10 ya kuchanja watoto dhidi ya ukambi, rubela na homa ya matumbo. Watoto walio katika hatari ya kuugua ni wale walio chini ya miaka mitano na ndio hao serikali inaowalenga katika kutoa chanjo. Thelma Mwadzaya anaangia mengi juu ya chanjo hiyo katika makala hii ya Afya yako.