Ni wakati mwingine mzuri kwa wadau wa Jukwaa la manufaa kutoa na kuyasikia maoni yao yanayojumuisha kero dukuduku, ushauri bila kusahau pongezi kuhusu yale yote yanayojiri kwenye jamii. Nahodha jukwaani kwa wakati huu ni Angela Mdungu, ungana naye kusikiliza.