Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, zaidi ya asilimia 60 ya watu katika eneo la Afrika Mashariki ni vijana walio na umri wa chini ya miaka 30. Wachumi wanaitaja kuwa hiyo ni fursa kubwa kwa maendeleo. Je, vijana wamejiandaa na kuandaliwa vyema katika seka ya uwekezaji?