Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2026 uganda, vyama vya upinzani vimeanza harakati za kujiimarisha kwa kufanya mashauriano ya kuungana, huku baadhi ya wanachama waliokata tamaa na uongozi wa vyama vikuu wakianzisha vyama vipya. Hata hivyo, wachambuzi wa siasa wanaona nafasi ya upinzani ikizidi kudhoofika.