Unajikuta unaamka mchovu hata baada ya kulala usiku mzima? Unapumua kwa shida usingizini au kuamka ghafla ukikohoa? Ikiwa jibu ni ndiyo, kuna uwezekano mkubwa kuwa unakabiliwa na tatizo hatari la kiafya linalojulikana kama Obstructive Sleep Apnea—hali ambapo njia ya hewa huzibwa wakati wa usingizi bila wewe kujua!