Israel yaidhinisha ujenzi wa makazi ya walowezi
14 Agosti 2025Matangazo
Eneo linalokaliwa kimabavu. Ofisi ya Smotrich imesema, hatua hiyo italizika moja kwa moja wazo la kuundwa taifa huru la Palestina.
Mamlaka ya Palestina, washirika na makundi ya wanaharakati yemeulaani mpango huo, na yamesisitza kuwa unakiuka sheria. Yamesema utavuruga mpango wa amani wa eneo hilo unaoungwa mkono kimataifa.
Kwa upande wake Umoja wa Ulaya umpinga mabadiliko yoyote ya maeneo kati ya Israelna Palestina ambayo sio sehemu ya makubaliano ya kisiasa. Umesema hatua ya Israel inadidimiza sio tu uwezekano wa kuundwa taifa la Palestina lakini pia utavuruga maendeleo yoyote ya Palestina.