MigogoroMashariki ya Kati
Iran:Tutaendelea kufanya mazungumzo na IAEA
18 Agosti 2025Matangazo
Itakumbukwa kuwa Iran ilisitisha ushirikiano na shirika hilo baada ya kumalizika kwa vita vya siku 12 vya Israel na Iran mnamo mwezi Juni. Katika mzozo huo, Marekani na Israel zilivishambulia vituo vya nyuklia vya Tehran.
Juni 25 siku moja baada ya mapigano kusimamishwa kati ya Tehran na Israel, wabunge wa Iran, kwa sauti moja walipiga kura kusitisha shughuli za shirika hilo nchini humo.