Idadi ya vifo kutokana na ghasia Syria yafikia 248
16 Julai 2025Matangazo
Kulingana na shirika hilo la Syria Observatory, idadi hiyo inajumuisha wanachama 92 wa jamii ya walio wachache ya Druze, 28 kati yao wakiwa raia huku 21 wakiuawa kwa agizo la serikali.
Vikosi vya Syria vyaingia mji wa Sweida baada ya mapigano yaliyosababisha vifo
Syria Observatory imesema takriban maafisa 138 wa usalama wa Syria waliuawa pamoja na wapiganaji 18 washirika wa jamii ya Bedouin.