You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Fathiya Omar
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Fathiya Omar
Taarifa zilizoonesha na Fathiya Omar
Kwanini utoaji mimba unaongezeka nchini Kenya?
Sikiliza ripoti ya Fathiya Omar kutoka Mombasa kuhusu kuongezeka utoaji mimba Kenya.
Singo: Desturi ya kale kwa jamii za Waswahili
Kusingwa ni utamaduni wa kale wa urembo unaozidi kuibuka tena kwa kishindo katika Pwani ya Kenya.
Safari ya Khadija Bhallo: Kutoka jikoni hadi mtandaoni
Mapishi ni kipaji na pia sanaa. Mji wa Mombasa umebahatika kuwa na wapishi wengi mahiri akiwemo Khadija Bhallo.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Fathiya Omar
Taarifa na Fathiya Omar
Tangalizi - chakula cha Waswahili wa pwani
Tangalizi - chakula cha Waswahili wa pwani
Ladha ya kumbukumbu, harufu ya utamaduni, na mvuto wa mila zetu... Je, umewahi kusikia kuhusu chakula cha siri kinachopikwa kwa hafla maalum tu? Jua hadithi yake na kwanini kizazi kipya kina hofu kwamba inaweza kusahaulika kabisa.
Je, unakoroma sana usiku?
Je, unakoroma sana usiku?
Unajikuta unaamka mchovu hata baada ya kulala usiku mzima? Unapumua kwa shida usingizini au kuamka ghafla ukikohoa? Ikiwa jibu ni ndiyo, kuna uwezekano mkubwa kuwa unakabiliwa na tatizo hatari la kiafya linalojulikana kama Obstructive Sleep Apnea—hali ambapo njia ya hewa huzibwa wakati wa usingizi bila wewe kujua!
Tatizo la kuziba pumzi usingizini
Tatizo la kuziba pumzi usingizini
Je, Unajikuta Unachoka Sana Asubuhi? Unakoroma sana usiku? Unapumua kwa shida usingizini au kuamka ukikosa hewa? Hii inaweza kuwa dalili ya tatizo hatari lijulikanalo kama Obstructive Sleep Apnea — ambapo njia ya hewa huzibwa wakati wa usingizi bila wewe kujua! Mengi zaidi kwenye video hii ya afya.
Fahamu siri za urembo kwa wanawake wa Mombasa
Fahamu siri za urembo kwa wanawake wa Mombasa
Je, wafahamu kuhusu Dukhan? Hii ni mila ya kipekee kutoka Sudan — bafu la moshi lenye manukato ambalo sasa limepata makazi Pwani ya Kenya. Zaidi ya urembo, Dukhan huaminika kuleta utulivu, kuondoa sumu mwilini, kupunguza maumivu ya viungo... Kwa wanawake, ni desturi muhimu kabla ya harusi au baada ya kujifungua. Ushawahi kuijaribu?
Wanawake wanavyojitoa kwenye uraibu wa dawa za kulevya
Wanawake wanavyojitoa kwenye uraibu wa dawa za kulevya
Monica Akoth, ni mwanamke mwenye umri wa miaka 38. Na yeye ni sura ya ushindi. Aliwahi kuwa mfanyabiashara wa hoteli na alikuwa na maisha mazuri tu. Lakini mapenzi na mtu asiye sahihi yalimpeleka pabaya, hatimaye akaanza kutumia dawa za kulevya aina ya heroin, tena akiwa bado mdogo!!! Tizama video hii. #kurunziwanawake
Utamaduni wa Singo ya kisasa kwa maharusi Mombasa
Utamaduni wa Singo ya kisasa kwa maharusi Mombasa
Ujue utamaduni wa singo, desturi ya kale yenye mizizi ndani ya jamii za waswahili wa Pwani ya Afrika Mashariki, Kwa karne nyingi, kusingwa ilikuwa sehemu muhimu ya maandalizi ya bibi harusi. Fathiya Omar anayo mengi katika makala ya Utamaduni na Sanaa.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo