Etienne Tshisekedi ataka kujiapisha mwenyewe kama rais wa DRC
23 Desemba 2011Matangazo
Polisi kwa sasa wamezunguka nyumba ya bwana Tchisekedi pamoja na kuzunguka uwanja ambao Tchisekedi anatarajiwa kujiapisha.
Mwandishi Amina Abubakar
Mhariri Josephat Charo