Aliyekuwa, naibu wa rais wa Kenya, ambaye hivi sasa ni kiongozi mkuu wa chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameendelea kuimarisha safari zake za kampeni kukinadi chama chake kipya. Je, chama hiki kipya kitakuwa kikubwa kiasi gani kuweza kuwa na ushawishi katika siasa za Kenya kuelekea uchaguzi mkuu ujao? Jiunge na Josephat Charo katika kipindi cha Maombi mbele ya Duara.