You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Leo ni siku ya mwisho kwa majeshi ya Uingereza kuwepo Iraq
Mkataba uliosainiwa na nchi hizo mbili, unaitaka Uingereza kuondoa majeshi yake yote ifikapo Julai 31, 2009.
Israel yasema haina mgogoro na Marekani, huku EU ikiitaka kuachana na ujenzi wa makaazi.
Balozi mpya wa Israel nchini Marekani amesema hakuna mgogoro wowote kati ya nchi yake na Marekani, licha ya kupingana kuhusiana na ujenzi wa makaazi katika Mashariki mwa Jerusalem.
Uingereza na Ubelgiji zalalamikiwa kwa machafuko ya DRC
Shirika lilisilo la kiserikali linalojihusha na haki za kibiniadamu la Global Witness limetoa wito kwa serikali za Uingereza na Ubeligiji kufanya jitihada za ziada kupumaliza machafuko nchini DRC.
EU yapanga kuwa mfumo wa pamoja kushughulikia wakimbizi
Mawaziri wa Sheria na Mambo ya ndani wa Umoja wa Ulaya katika mkutano wa hapo jana mjini Stockholm Sweden, wametangaza kuunga mkono kuanzishwa utaratibu wa pamoja kushughulikia wahamiaji wanaoingia barani humo
Uingereza na Ufaransa zakutana kabla ya mkutano wa G8
Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown akutana na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ikiwa ni siku mbili kabla ya mkutano wa G8
EU kuzindua mfumo wa pamoja wa usimamizi wa fedha
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanajiandaa kuunga mkono harakati za kuzindua mfumo maalum utakaowateua wasimamizi wa mabenki wa eneo hilo kwa minajili ya kujizatiti ili kuzuia misukosuko ya katika sekta ya fedha.
Waziri mkuu wa Uingereza Gordon Brown kulifanyia mabadiliko baraza la mawaziri.
Hadi sasa jumla ya mawaziri wanne wamekwisha jiuzulu.
Michael Martin ajiondoa.
Baada ya kushinikizwa na wabunge wengi Spika wa Bunge la Uingereza-House of Commons Michael Martin ajing'atua.
Mapigano yanaendelea kaskazini magharibi mwa Pakistan
Uingereza yaahidi msaada wa Pauni milioni 12 kwa ajili ya Pakistan.
Musiwe na hofu! yasema EU kuhusu homa ya Nguruwe
Jamii ya kimataifa inaendelea na harakati za kuwatuliza watu kote ulimwenguni baada ya kuzuka kwa homa ya nguruwe.Homa hiyo iliyozuka mara ya kwanza huko Mexico sasa imesambaa katika mataifa 26 kote ulimwenguni.
Msiwe na hofu! yasema EU kuhusu virusi vya H1N1
Umoja wa Ulaya umepinga hatua ya kuzipiga marufuku safari za ndege zinazoelekea Mexico kitovu cha homa inayosababishwa na virusi vya H1N1 iliyopo kwa sasa.
230409 Energiegipfel Russland
Urusi kupigania nafasi yake kama msafirishaji mkubwa wa gesi
130309 EU Außenminister Treffen
Baraza la Mawaziri wa Nje wa Umoja wa Ulaya linakutana leo, Jumatatu, mjini Brussels, Ubeligiji.
Brown na Obama wakutana.
Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown asisitiza umuhimu wa mpango wa pamoja katika kuukabili mgogoro wa uchumi duniani.
Brown kukutana na Obama leo.
Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown yupo Marekani kwa ziara ya siku tatu.
Waziri wa Ushirikiano na Maendeleo ya Kimataifa wa Uingereza ziarani Rwanda
Uingereza imesema Rwanda na nchi nyingine katika kanda zina jukumu kubwa kuhakikisha kuwa amani inapatikana mashariki mwa jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Waziri Mkuu wa Uingereza yuko Pakistan baada ya kuizuru India
Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown amelilaumu kundi la wanamgambo lenye makao yake nchini Pakistan Lashkar- e- Taiba kwa mashambulizi yaliosababisha maafa makubwa dhidi ya mji wa Mumbai nchini India mwezi uliopita.
EU yajadili mkataba wa kulinda mazingira
Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya umeingia siku yake ya pili na ya mwisho mjini Brussels nchini Ubelgiji.Viongozi hao wanajadili mikakati mbadala ya kupambana na athari za mabadiliko ya hali ya anga
Irak yajadiliana na Uingereza kuhusu majeshi yake.
Waziri wa ulinzi wa Uingereza aizuru Iraq
Waangalizi wa EU wawasili Georgia
Waangalizi wa Umoja wa Ulaya wamewasili nchini Georgia wakiwa na lengo la kudumisha makubaliano ya kusitisha vita yaliyosimamiwa na Ufaransa kufuatia mzozo wa mwezi Agosti kwenye eneo la Kaukasus.
Viongozi wa EU wasitisha majadiliano na Urusi
Hakuna vikwazo ,isipokua viongozi wanasitisha mazungumzo ili kuishinikiza Urusi iondowe wanajeshi wake toka Georgia
UINGEREZA YASISTIZA VIKWAZO VIWEKEWE ZIMBABWE.
Mzozo wa kuiwekea Zimbabwe vikwazo unazidi kupamba moto huku waziri mkuu wa Uingereza, Gordon Brown,
Mkutano wa kilele wa EU
Umoja wa Ulaya umeanza mkutano wake wa kilele mjini Brussels.
Mawaziri wa mambo ya kigeni wa umoja wa Ulaya wakutana Luxemburg.
Michuano ya ligi kuu ya soka Ujerumani Bundesliga kufikia ukingoni Jumamosi na bingwa wa soka Uingereza kujulikana Jumapili.
Wakati ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga inalenga nafasi kushiriki kombe la UEFA na kukwepa kushuka daraja bingwa wa soka nchini Uingereza aidha itakuwa Manchester United au Chelsea.
Sports: Chelsea na Manchester United sasa zapigania ubingwa wa Uingereza
Baada ya Champions League Chelsea na Manchester sasa zalitupia macho kombe la Premeir
Ufaransa, Marekani kwa kushirikiana na Uingereza zinapanga kukomesha Uharamia katika Pwani ya Somalia.
Serikali za Ufaransa na Marekani kwa msaada wa Uingereza,zinaandaa azimio katika baraza la usalama litakalo ziruhusu nchi kupambana na uharamia nje ya pwani ya Somalia na kwingineko.
Kampuni ya magari ya Tata ya India yanunuwa kampuni za magari za Jaguar na Land Rover nchini Uingereza
Jaguar na Land Rover wakati fulani yalikuwa majina ya magari yenye hadhi kubwa yanayotambulika katika ulimwengi wa viwanda vya magari nchini Uingereza.
Mwanamfalme Harry amerudi Uingereza
Mwanamfalme Harry wa Uingereza aondoka Afghanistan
Mwanamfalme Harry wa Uingereza apigana mstari wa mbele Afghanistan
Tetemeko dogo la ardhi Uingereza
Uingereza yakiri kulikuwepo safari za siri za CIA
EU yaidhinisha jeshi la amani la Darfur
Mwanajeshi wa Uingereza auawa na bomu nchini Afghanistan
Waziri Mkuu wa Uingereza ziarani India
Waziri Mkuu wa Uingereza akamilisha ziara nchini China
Gordon Brown afungua soko la hisa la Uingereza mjini Beijing
Mvutano mpya wa kibalozi wazuka kati ya Uingereza na Urusi
Eu watilia shaka uchaguzi wa Kenya
---
Maafisa wa UN na Eu watimuliwa
---
Serbia yapanga kuzipinga Eu na Marekani
---
EU kuwa bega kwa bega na Kosovo
Ujerumani yaipinga EU
Brown atembelea vikosi vya Uingereza nchini Irak
Mugabe awasili Ureno tayari kwa mkutano wa EU-AU
Uingereza na Zimbabwe
Kuhudhuria rais Mugabe mkutano wa kilele kati ya Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika Lisbon kunatatanisha mkutano.
Wateka nyara waipa siku 10 Uingereza kuondoa Iraq
Mwalimu wa Uingereza arejea kwao
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 44 wa 50
Ukurasa unaofuatia