You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Utawala wa Syria wapoteza uhalali - EU
Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Catherine Ashton amesema utawala wa Syria umepoteza uhalali wake huku Umoja huo ukimshinikiza Rais Bashar Al Assad kwa kumuonya kwamba vikwazo vinaweza pia kuwekwa dhidi yake.
Kura ya maoni Uingereza
Wapiga kura nchini Uingereza wamekiadhibu chama cha Kiliberali nchini humo kwa jukumu lake lake la kupunguza nakisi serikalini, na kukitelekeza katika kura ya maoni iliyopigwa jana.
Harusi ya Mwanamfalme William na Kate wa Uingereza
Ni Rasmi, Mwanamfalme William na mpenzi wake, Katherine ni mke na mume. Wawili hao walizifunga pingu zao za maisha mapema hii leo katika kanisa kuu la Westminster Abbey lililo katikati ya mji wa London.
Uingereza yazungumzia maandamano nchini Syria
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, William Hague, amesema Rais Bashar Assad hawezi kuwa na uwezo wa kuongoza mabadiliko nchini mwake yanayoshinikizwa na waandamanaji.
Ufaransa na Italia zaungana na Uingereza kupeleka maafisa Libya
Ufaransa na Italia zimeungana na Uingereza kupeleka maafisa wa kijeshi ili kuvisaidia vikosi vya waasi wa Libya vilivyopo eneo la mashariki.
EU yafikiria vikwazo vya anga dhidi ya Libya
Mataifa ya Ulaya bado yanajadili uwezekano wa kupitisha azimio la kuzuia ndege kutoruka juu ya anga ya Libya, huku mkutano wa dharura wa viongozi wa mataifa hayo ukitarajiwa kufanyika kesho (Ijumaa, 11 Machi 2011).
Westerwelle ataka msimamo wa EU kuhusu Belarus
Msimamo huo ni kuhusu ukandamizaji unaoendelea chini ya uongozi wa Rais Alexander Lukashenko wa Belarus.
EU Ivory Coast
Umoja wa Ulaya unakusudia kuimarisha vikwazo dhidi ya rais Laurent Gbagbo ili kumshinikiza mpaka aondoke madarakani.
Gadhafi aishika EU ndipo
Kiongozi wa Libya, Muammar Gadhafi, anasema kwamba inachotafuta Afrika ni makubaliano yenye maslahi ya kiuchumi kati yake na Umoja wa Ulaya, kwamba huo ndio msingi wa mahusiano baina ya bara hilo na mataifa mengine.
IMF, EU kuipa fedha Ireland
Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) zimekubali kuipatia Ireland fedha kwa ajili ya kujikwamua katika matatizo ya kiuchumi yanayoikabili nchi hiyo
Uingereza yatetea uamuzi wa kuwalipa wafungwa wa Guantanamo
Uamuzi huo ulinuiwa kuzuia kufichuka kwa taarifa ambazo zingeyaweka katika hali ngumu mashirika ya ujasusi
de Maiziere ataka hatua madhubuti za usalama EU
Panapohusika suala la ushirikiano dhidi ya vifurushi vya mabomu Ulaya, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Thomas de Maizière ana msimamo mmoja tu: sheria kali na sio kujali gharama zake
EU yatiwa moyo na uchaguzi
Katika uchaguzi huu, Umoja wa Ulaya umesambaza waangalizi sehemu nyingi za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na waangalizi hao wanaona kwamba kwa jumla uendeshaji wa uchaguzi ulikuwa wa kuridhisha.
EU yamwaga waangalizi wa Uchaguzi Tanzania
Wakati zimebakia wiki chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania hapo Oktoba 31, Umoja wa Ulaya umetangaza kusambaza timu ya waangalizi katika karibuni maeneo yote ya Tanzania.
Mkutano wa kilele wa EU.
Mkutano wa siku mbili wa kilele, wa Wakuu wa Umoja wa Ulaya unaanza leo mchana, mjini Brussels, Ubelgiji.
Waislamu Ulaya: Msaada wa huduma ya simu kwa vijana wa Kiislam Uingereza
Vijana wa Kiislam wa nchini Uingereza wanasita kuomba msaada kutoka vyombo vya serikali wakihofia kutokueleweka na katika kukabiliana na tatizo hilo, imetengenezwa huduma mpya ya simu inayoitwa The Muslim Youth Helpline
EU na Marekani zakutana .
Umoja wa Ulaya na Marekani zimefanya mazungumzo hapo jana kujadili kuimarisha ushirikiano wa kupambana na tishio kwa usalama.
Malkia wa Uholanzi aruhusu serikali kuundwa.
Malkia Beatrix wa Uholanzi amemruhusu kiongozi wa chama cha kihafidhina cha WD, Mark Rutte kuunda serikali ya wachache yenye kufuata mrengo wa kati kulia.
Mkutano wa EU na China wamalizika patupu
Mkutano wa kutafuta suluhu kwenye masuala ya kiuchumi kati ya Umoja wa Ulaya na China umemalizika bila ya kufikiwa kwa makubaliano yoyote
EU yaishutumu Israel
Mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya Catherine Ashton amesema hatua ya Israel kutorefusha muda wa usitishwaji wa ujenzi wa makaazi ya walowezi ni ya kusikitisha na ni kukiuka sheria za kimataifa
Papa amaliza ziara ya Uingereza kwa mafanikio
Ziara ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Benedikt wa 16, nchini Uingereza imekuwa ya mafanikio zaidi kuliko vile vyombo vingi vya habari vya nchi hiyo vilivyokuwa vimekisia hapo mwanzoni.
Papa amaliza ziara yake Uingereza
Ziara ya Papa Benedict Uingereza imekumbwa na maandamano, kuhusiana na kashfa ya ngono iliyoikumba Kanisa Katoliki.
Ziara ya Papa nchini Uingereza
Ziara hiyo yagubikwa na kukamatwa kwa watu watano kwa tuhuma za kuwa tishio dhidi ya Papa.
Baba mtakatifu aizuru Uingereza
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Baba mtakatifu Benedict wa 16, amewasili nchini Uingereza kuanza ziara yake ya kihistoria ya siku nne ambako anakutana na Malkia Elizabeth ll wa Uingereza
Papa ziarani Uingereza
Baba Mtakatifu Benedict wa XVI anaanza ziara rasmi hii leo nchini Uingereza atakakokutana na Malkia Elizabeth wa Pili mjini Edinburg,Scotland
Papa kufanya ziara Uingereza
Ziara hiyo ya kichungaji ya Baba Mtakatifu Benedikto wa Kumi na Sita inaonekana kukabiliwa na changamoto, yakiwemo maandamano ya kuipinga.
Uingereza yaionya Libya kutosherehekea mwaka mmoja tokea kuachiwa Megrahi
Leo ni mwaka mmojka tokea kuachiwa huru kwa mhusika wa shambulio la bomu dhidi ya ndege ya abiria ya Marekani katika anga la Lockerbie, Abdelbaset Ali Mohammed al-Megrahi ,
Bado wiki mbili kabla ya ligi ya Uingereza kunguruma
Wiki mbili zimesalia kabla ya kuanza kwa ligi kuu ya Uingereza, premier League na mashindano ya ubingwa wa riadha barani Afrika na Ulaya yamalizika.
EU yaiwekea vikwazo Iran.
Mawaziri wa mambo ya Nchi za Nje wa Umoja wa Ulaya leo wameidhinisha vikwazo vikali zaidi ya vile vilivyopitishwa na Umoja wa Mataifa hivi karibuni juu ya mpango wa nyuklia wa Iran ulio na utata.
Ujerumani yaisambaratisha Uingereza
Ujerumani imeichabanga Uingereza mabao 4-1 na kuingia robofainali ya kombe la dunia kwa kishindo kikubwa.
Ujerumani yachekelea kulipa machungu ya kufungwa na Uingereza mwaka 1966
Bao maridadi lililokataliwa la Frank Lampard,lazusha mjadala mpya juu ya kutumika kwa teknolojia mpya.
Ujerumani yailaza Uingereza bao nne kwa moja.
Mashindano ya kombe la dunia ya soka yanaendelea leo nchini Afrika kusini, baada ya timu mbili za Ujerumani na Argentina jana kufanikiwa kuingia robo fainali za mashindano hayo.
Marekani yaipeleka puta Uingereza
Marekani imeiendesha mchakamchaka Uingereza katika michuano ya fainali za kombe la dunia nchini Afrika Kusini, kwa kuilazimisha kutoka nayo sare ya bao 1-1
Mawaziri wa fedha wa EU wakubaliana kuinusuru Euro
Mawaziri wa Fedha kutoka nchi zinazotumia sarafu ya Euro, wametangaza kuchukua hatua za kukabiliana na hatari ya kushuka thamani kwa sarafu hiyo
David Cameron afafanua malengo ya serikali yake.
Serikali mpya ya Uingereza yaahidi kupunguza nakisi.
Cameron kuongoza seraikali mpya Uingereza
Nchini Uingereza,chama cha Conservatives, kimerejea madarakani baada ya miaka 13.
Uchaguzi wa Uingereza waleta msisimko
Waingereza wamelichagua bunge jipya katika uchaguzi uliofanyika hapo jana Mei 6, na kwa mara ya kwanza baada ya miongo kadha hakuna chama kilichopata wingi wa kutosha.
Mjadala 3 wa TV kabla uchaguzi wa Uingereza
David Cameroun ameshinda kwa hoja ?
Waziri mkuu, Gordon Brown akosolewa vikali kutokana na matamshi yake
Mjadala utafanyika Birmingham, Brown, Cameron na Clegg kujadiliana kwenye televisheni.
Mjadala wa TV Uingereza
Nani alishinda jana: Brown,cameron au Glegg ?
Waziri mkuu Brown atangaza Mei 6 uchaguzi Uingereza
Hakuna chama kitakachoibuka na ushindi wazi-uchunguzi:
Uingereza yamfurusha mwanadiplomasia wa Israel
Hali ya wasiwasi bado inatanda kuhusu uhusiano baina ya nchi hizo mbili.
Waziri Mkuu wa Uingereza atetea jukumu lake katika vita vya Irak 2003
<p>Waziri mkuu wa Uingereza, Gordon Brown, ametetea jukumu lake katika vita vya Iraq mwaka 2003 .
Mkutano wa Kimataifa wa usalama umeanza leo mjini London Uingereza.
Unalenga kujadili hali ya usalama nchini Afghanistan.
Uchunguzi wa vita vya Irak.
Aliekuwa afisa wa karibu wa Tony Blair asema, waziri Mkuu huyo alitaka kuondolewa kwa silaha za Saddam Hussein nchini Irak, na siyo kuuangusha utawala wake.
Uhusiano baina ya China na Uingereza
China na Uingereza zabadilishana lawama
Uchunguzi huru waanza Uingereza
Nchini Uingereza, uchunguzi uliyokuwa ukisubiriwa kwa muda mrefu wa kushiriki wa nchi hiyo katika vita vya nchini Iraq unaanza leo, ambapo Waziri Mkuu wa zamani Tony Blair ni miongoni mwa watakahojiwa na tume maalum
Rais mpya wa EU apongezwa
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejipongeza baada ya kumteua Waziri Mkuu wa Ubelgiji Herman Van Rompuy kuwa rais wa kwanza wa Jumuiya hiyo.
Uingereza yampongeza Karzai
Pongezi hizo zimetolewa leo baada ya Rais Karzai kuapishwa
EU, yaafiki kusaidia nchi zinazioendelea kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya leo wameafikiana juu ya kiasi gani cha fedha watatoa kwa nchi zinazoendelea kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini bila ya kusema kiwango cha fedha ambacho Ulaya itachangia.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 43 wa 50
Ukurasa unaofuatia