You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Marekani kuirejesha Syria katika baraza la usalama...
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry, amesema nchi yake haiondowi uwezekano wa kurudi katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kupata suluhisho juu ya Syria, baada ya kukamilika kwa ripoti ya wakaguzi
Uingereza kuwasilisha azimio kuhusu Syria
Uingereza inatarajiwa kuwasilisha azimio kuihusu Syria kwa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa leo huku wachunguzi wa umoja huo wakiwasili katika ngome ya waasi viungani mwa Damascus kuendesha uchunguzi.
Tishio la kigaidi katika mataifa ya Kiarabu na Asia
Marekani imefanya mkutano wa maafisa wa ngazi ya juu kufuatia wasiwasi wa kutokea vitendo vya kigaidi, ambavyo vimesababisha serikali ya taifa hilo kutoa tahadhari ya kusafiri na kuamuru kufungwa kwa balozi zake.
Diplomasia yashika kasi Misri
Wafuasi wa rais aliyepinduliwa nchini Misri, wameapa kuendeleza maandamano licha ya amri ya kuwakandamiza, huku wanadipolomasia wakijaribu kutafuta suluhu ili kukomesha mgogoro uliyozidi kuigawa nchi.
Boubakar Keita adai ushindi Mali
Matokeo rasmi ya awali ya uchaguzi yanasubiriwa kwa hamu kubwa lakini kambi ya waziri mkuu wa zamani Boubar Keita imeshaanza kusherehekea tangu jana,lakini wapinzani wake nao wamesimama kidete dhidi ya mtazamo huo.
Matokeo ya Uchaguzi yasubiriwa Mali
Wapiga kura walijitokeza kwa wingi katika eneo la kusini wakati tume ya uchaguzi ikifanikiwa kudhibiti hali ya mambo bila matatizo.Na katika eneo la Kaskazini hakuna mashambulio yaliyoshuhudiwa.
Mwana wa Kifalme azaliwa
Hatimae baada ya miezi tisa ya kusubiri,Kate na William wamejaaliwa kumpata mtoto wa kiume aliyekaribishwa kwa shangwe na nderemo katika taifa hilo na nje.
Umoja wa Ulaya wataka Mursi aachiwe huru
Waandamanaji wanaomuunga na wapinzani wa Mursi wameandamana kote Misri wakati mkuu wa sera za nje akitowa mwito wa kuachiwa huru kiongozi huyo anayezuiliwa na jeshi.
Latvia yajiunga na sarafu ya Euro
Umoja wa Ulaya umeipitisha rasmi Latvia, kuwa mwanachama wa 18 wa kanda inayotumia sarafu ya euro. Hiki ndiyo kilikuwa kikwazo cha mwisho kwa nchi hiyo kujiunga na sarafu ya pamoja ambayo itaanza kuitumia mwakani.
Ugiriki yapata fedha zaidi licha ya kutotimiza masharti
Kabla ya kwenda mapumziko ya majira ya joto, mawaziri wa fedha wa kanda inayotumia sarafu ya euro wameidhinisha awamu nyingine ya fedha za uokozi kwa Ugiriki. Lakini nchi hiyo itapaswa kutekeleza masharti kadhaa.
Wimbledon : Miaka 77 ya Uingereza kusubiri yamalizika
Enzi ya kusubiri yamalizika Waingereza waamka leo(07.07.2013)wakiwa mabingwa wa tennis wa Wimbledon baada ya kusubiri miaka 77. Muingereza Andy Murray awa shujaa wa Uingereza baada ya kumwangusha Novak Djokovic.
Mzozo wa kidiplomasia wafukuta
Mawaziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Guido Westerwelle na Ahmet Davutoglu wa Uturuki wamekutana Jumamosi (22.06.2013) kuzima mzozo wa kidiplomasia kuhusiana na suala la juhudi za Uturuki kujiunga na Umoja wa Ulaya.
Mkutano wa G8 wafikia ukingoni
Viongozi wa nchi nane zilizoendelea kiviwanda duniani G8 wanajadili kuhusu jinsi ya kuzuia kutekwa nyara kwa wafanyakazi wa kigeni katika nchi za Afrika na kuyadhibiti makampuni yanayohama hama ili yalipe kodi.
Mkutano wa G8; suala la Syria lagubika mkutano
Vita nchini Syria vimetawala mwanzoni mwa mkutano wa mataifa ya G8 nchini Ireland ya kaskazini Jumatatu(17.06.2013)wakati viongozi wa mataifa ya magharibi wakiongeza mbinyo kwa Urusi kuacha kumuunga mkono rais Assad.
Migomo, maandamano yaitikisa Ugiriki
Vyama vya wafanyikazi nchini Ugiriki vimeitisha mgomo wa masaa 24 ili kupinga hatua ya serikali kufunga shirika la utangazaji la serikali la ERT kama hatua ya kupunguza matumizi.
Erdogan awashupalia wakosoaji
Waziri Mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Umoja wa Ulaya ni kigeugeu, baada ya umoja huo kuikosoa serikali yake kwa kutumia nguvu kubwa ya polisi dhidi ya waandamanaji.
Uingereza kuwalipa Mau Mau shilingi bilioni 2.6
Uingereza atawalipa Wakenya zaidi ya 5,000 shilingi bilioni 2.6 kama fidia kwa mateso waliyofanyiwa na wanajeshi wa Uingereza wakati wa vuguvugu la Mau Mau kati ya mwaka 1952 na 1960.
Jeshi la serikali lauteka mji muhimu wa Qusseir
Wanajeshi wa serikali ya Syria pamoja na Hisbollah wameukomboa mji muhimu Qusseir na kuwalisha hasara waasi.Ushindi huo umetangazwa huku Ufaransa na Uingereza zikisema jeshi la serikali limetumia gesi ya sumu ya sarin
Maoni ya wahariri juu ya "silaha kwa waasi wa Syria"
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya kimsingi wamekuabliana kundoa vikwazo vya silaha dhidi ya Syria.Maana ya hatua hiyo ni kwamba nchi za Umoja wa Ulaya zinaweza kuwapelekea silaha wapinzani wa serikali.
Ulaya yaondoa vikwazo vya silaha kwa waasi Syria
Mawaziri wa masuala ya nchi za nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuondoa vikwazo vya silaha kwa waasi wa Syria, huku wenzao wa Urusi na Marekani wakijadili mkutano wa kumaliza vita kwa njia ya mazungumzo.
Mchakato wa kutafuta amani Syria
Juhudi za kimataifa za kuumaliza mzozo wa Syria zimeshika kasi huku kukitarajiwa mazungumzo muhimu mijini Brussels na Paris kutafuta ufumbuzi wa mzozo wa Syria licha ya kuwepo migawanyiko miongoni mwa makundi ya upinzani
Maoni juu ya msaada wa Mabilioni kwa Mali
Mkutano wa wafadhili wa kimataifa juu ya Mali uliofanyika mjini Brussels mapema wiki hii ulikuwa wa mafanikio makubwa anasema mwandishi wetu Claus Stäcker katika maoni yake.
Maoni ya wahariri juu ya Mfalme Willem-Alexander
Uholanzi imepata Mfalme, Willem -Alexander. Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wanatoa maoni yao. Pia wanazungumzia juu ya mvutano baina ya Ujerumani na Ufaransa
Umoja wa Ulaya kusaidia waasi Syria
Umoja wa Ulaya umekubali kulegeza vikwazo dhidi ya Syria ili kuruhusu waasi nchini humo kuuza mafuta katika hatua inayonuiwa kuwapa waasi hao uwezo wa kifedha.
Mataifa ya EU yaonywa
Umoja wa Ulaya umezionya nchi wanachama wa Umoja huo kuweka mikakati imara dhidi ya biashara ya kuuza binaadamu isiokubalika au ziwekewe vikwazo.
Cameron, Merkel wajadili mageuzi ndani ya EU
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel wamekutana karibu na jiji la Berlin siku ya Ijumaa, kama sehemu ya juhudi za Uingereza kushinikiza kuwepo mageuzi ndani ya Umoja wa Ulaya.
Mabenki yafunguliwa tena Cyprus
Benki nchini Cyprus zimefunguliwa tena chini ya ulinzi mkali huku wateja wakikabiliwa na masharti ya namna ya kudhibiti pesa zao. Wateja hao hawatakuwa na nafasi ya kuchukua kiwango kikubwa cha fedha kwa mara moja.
Cyprus yasalimika dakika za mwisho
Cyprus iliepuka kutangazwa muflisi baada ya kufikia makubaliano ya dakika za mwisho na wakopeshaji wa kimataifa, katika mazungumzo magumu yaliyodumu kwa masaa 10.
Cyprus yahaha kuepuka kufilisika
Rais wa Cyprus Nicos Anastaciades anasafiri kwenda mjini Brussles, Ubelgji katika jitihada za mwisho za kutafuta msaada wa uokozi kutoka Umoja wa Ulaya, ili nchi yake ibakie katika kanda inayotumia sarafu ya euro.
Viongozi wa Ulaya hawana wasi wasi na kura ya Cyprus
Rais wa Cyprus Nicos Anastasiades anakutana na viongozi wa vyama vya kisiasa katika hatua ya dharura ya kutafuta mpango mbadala baada ya bunge kukataa mpango wa Umoja wa Ulaya wa uokozi.
Vikwazo vya silaha Syria kujadiliwa wiki ijayo
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya watapitia upya mapendekezo ya kuondoa vikwazo vya silaha dhidi ya Syria, baada ya viongozi wa umoja huo kushindwa kukubaliana kuhusu suala hilo jana Ijumaa (15.03.13).
Syria miaka miwili vitani
Leo ni miaka miwili tangu ghasia kuanza Syria huku rais wa nchi hiyo Bashar al-Assad akikataa kuondoka madarakani na viongozi wa Umoja wa Ulaya wakitofautiana kuhusu njia za kukomesha umwagikaji damu.
Waangalizi wawataka Wakenya kuwa na subira
Kwa siku ya tatu sasa Wakenya wanaendelea kusubiri kwa hamu kubwa matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya Jumatatu hususani matokeo ya Urais.Tume huru ya uchaguzi imeanza kutoa upya matokeo ya uchaguzi huo.
Italia: Uchaguzi usiyo na mshindi
Italia inakabiliwa na mkwamo wa kisiasa, baada ya kutokuwepo na mshindi wa moja kwa moja katika uchaguzi uliyofanyika Jumapili na Jumatatu, na hivyo kuweka mashakani juhudi za kufufua uchumi wa taifa hilo.
Umoja wa Ulaya wakubaliana juu ya Bajeti
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kupunguza bajeti ya umoja huo ya mwaka 2014-2020 hadi kufikia Euro bilioni 960 ikiwa ni mara ya kwanza kupunguzwa katika kipindi cha miongo sita.
Upinzani Syria wafanikiwa Munich
Kiongozi wa upinzani wa Syria, Moaz al-Khatib, amekutana na maafisa wa Iran na Urusi kwenye mkutano wa usalama mjini Munich, Ujerumani, katika kile kinachoelezwa kama hatua ya kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Umoja wa Ulaya kusaidia kulinda mipaka ya Libya
Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Umoja wa Ulaya wameanzisha mipango ya kuulinda mpaka wa Libya. Eneo hilo la mpaka lenye urefu wa maelfu ya kilometa limewapa mwanya watu wanaovusha silaha kimagendo.
Maoni ya wahariri juu ya Cameron
Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wanatoa maoni juu ya Kongamano la uchumi wa dunia, hotuba ya Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron na juu ya mgogoro wa nchini Mali.
Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya?
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ameonya kwamba ikiwa Umoja wa Ulaya hautafanya mageuzi ya msingi kupambana na matatizo yake, basi Uingereza itakuwa haina budi kutafuta njia za kujitoa kwenye Umoja huo.
Mwenyekiti mpya wa Ukanda wa sarafu ya Euro
Mawaziri wa fedha wa nchi zinazotumia sarafu ya Euro wamemchagua Jeroen Dijsselbloem kutoka Uholanzi kuwa Mwenyekiti mpya wa jumuiya yao.
Ujerumani yamtaka Assad aache maneno matupu
Wasyria wanahofia kuongezeka kwa vita baada ya hotuba ya jana ya Rais Bashar al-Assad huku mapambano yakizuka katika miji mbalimbali nchini humo na Ujerumani ikimtaka kiongozi huyo kuachana na kauli zisizo na maana.
Kituo cha kuwahudumiwa walazimishwao ndoa
Mjini Berlin kuna kituo kinachowahudumia wanawake wenye asili ya kigeni ambao kutokana na mivutano pamoja na familia zao, kama vile kulazimishwa kuolewa, wanalazimika kukimbia nyumbani na kutafuta hifadhi nje ya familia.
Putin akutana na Umoja wa Ulaya
Rais wa Urusi Vladmir Putin anakutana na viongozi wa Umoja w Ulaya, katika mazungumzo ya kwanza kati ya rais huyo na umoja huo tangu kuchaguliwa kwake, ambayo yatagubikwa na Syria, biashara, na haki za binaadamu.
Umoja wa Ulaya na tuzo ya amani ya Nobel
Kamati ya tuzo ya amani ya Nobel leo itaukabidhi Umoja wa Ulaya tuzo ya Nobel kwa mwaka 2012. Lakini je, umoja huo ulistahili kupewa tuzo hiyo kweli?
Mauaji yaendelea Syria, wapiganaji wa kigeni wahusishwa
Mripuko wa bomu lililotegwa kwenye gari katika kizuizi cha usalama karibu na Damascus umesababisha vifo vya wanajeshi wawili huku mapigano yakipamba moto ndani ya mji mkuu huo na na kusini mwa Syria.
Mkutano kuhusu bajeti ya Ulaya waanza Brussels
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanaanza mkutano wa siku mbili leo mjini Brussels kujadili bajeti ya mwaka 2014-2020. Kunatarajiwa malumbano makali kwenye, huku viongozi wakiwa na misimamo tofauti kuhusu matumizi ya fedha.
Bajeti ya Msaada wa Maendeleo kupungua
Ujerumani yapunguza msaada wa Maendeleo,hali ambayo itaziathiri taasisi na miradi husika katika nchi mbali mbali ikiwemo za barani Afrika.
Bundesliga: Wolfsburg yaibuka
Ligi ya Ujerumani Bundesliga, Wolfsburg iliyoachana na kocha wake Felix Magath wiki moja iliyopita, yacharuka,Gor Mahia baada ya kusubiri miaka 17 kubeba taji la ligi ya Kenya yaangukia pua.
Majadiliano ya bajeti yakwama
Juhudi za mwanzo za kupatikana makubaliano juu ya bajeti ya mwaka 2013 ya umoja wa Ulaya zimeshindwa.
Marekani inaweza kuitegemea Ulaya
Ikiwa Wamarekani wanafikra sawa kama walivyo wakaazi wa barani Ulaya basi bila shaka Obama hahitaji kuwa na wasiwasi wowote katika uchaguzi huu wa rais.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 41 wa 50
Ukurasa unaofuatia