You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Marekani, Uingereza kusaidia dhidi ya Ebola
Marekani na Uingereza zimesema zitapeleka vifaa vya tiba na wanajeshi huko Afrika Magharibi kusaidia juhudi za kuzuia kuenea kwa maradhi hatari ya Ebola, huku WHO ikionya kuhusu kuzidi kwa maambukizi.
AfD yachomoza uchaguzi wa jimbo la Saxony
Chama kinachoupinga Umoja wa Ulaya nchini Ujerumani cha Alternative für Deutschland AfD, kimeshinda viti vyake vya kwanza katika bunge la jimbo kufuatia uchaguzi uliyofanyika Jumapili katika jimbo la Saxony.
Super Mario akaribishwa tena Uingereza
Soka la Uingereza linamkaribisha tena mmoja wa wachezaji wenye utata kabisa. Liverpool ilimuuza mchezaji Luis Suarez na sasa wamemnunua Mario Balotelli ili kulijaza pengo la mashambulizi
EU yaelekea kuisadia Iraq
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wamekuwa na mwelekeo wa kuunga mkono jeshi la Kikurd katika kukabiliana na wapiganaji wenye kupigana vita vya Jihad- Dola la Kiislamu nchini Iraq.
Wakimbizi wafanywa watumwa nchini Libya
Wahamiaji na wakimbizi Wa Kiafrika wamegeuzwa kuwa watumwa nchini Libya. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya gazeti la Der Tagesspiegel la Ujerumani.
Vikwazo vyaathiri biashara ya bidhaa za kiutu Iran
Chakula na dawa ni vitu ambavyo havijajumuishwa katika vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran, lakini benki nyingi zinahofia faini zinazotozwa na Marekani ijapokuwa biashara ni halali.
Viongozi wa Marekani na Afrika wageukia biashara
Viongozi wa kisiasa na kibiashara kutoka Marekani na Afrika wanakutana Jumanne hii huku Washington ikitumai kuwa mkutano wa kilele wa kihistoria utapelekea kuongezeka kwa biashara na uwekezaji kati ya pande hizo mbili.
Ukraine yakaribisha vikwazo vipya dhidi ya Urusi
Waziri wa mambo ya kigeni wa Ukraine Pavlo Klimkin, amekaribisha vikwazo vipya vilivyotangazwa na Marekani na Umoja wa Ulaya dhidi ya Urusi, na kusema Kiev haitaishambulia miji inayodhibitiwa na waasi.
Vikwazo dhidi ya wakuu wa ujasusi Urusi
Ikighadhibishwa kutokana na kudunguliwa kwa ndege ya abiria ya Malaysia Umoja wa Ulaya imewaingiza kwenye orodha yake ya vikwazo wakuu wa ujasusi wa Urusi wakati ikijiandaa kuchukuwa hatua kali zaidi dhidi ya nchi hiyo.
Malkia afungua rasmi michezo ya madola
Malkia Elizabeth 11 amefungua rasmi michezo ya 20 ya jumuiya ya Madola jana katika sherehe kubwa mjini Glasgow ambapo mwanamuzi maarufu Rod Stewart aliwatumbuiza mashabiki waliohudhuria.
Juncker ateuliwa kuwa rais wa Umoja wa Ulaya
Jean-Claude Juncker ameteuliwa kuwa rais mpya wa halmashauri ya Umoja wa Ulaya akiungwa mkono na viongozi wa Umoja huo,na kuwa pigo kubwa kwa David Cameron ambaye amekuwa akimpinga.
Uchaguzi wa bunge la Ulaya wafikia kileleni
Wananchi wa Ulaya Jumapili (25.05.2014) wanapiga kura katika uchaguzi wa bunge la Umoja wa Ulaya ikiwa ni kilele cha mchakato mkubwa unaotarajiwa kuviimarisha vyama vyenye mashaka na Umoja wa Ulaya.
Uchaguzi wa bunge la Ulaya waingia siku ya pili
Uchaguzi wa bunge la Ulaya unaendelea huku ukishuhudia chama cha UK Independence UKIP cha Uingereza, kikipata matokeo mazuri ambayo hayakutarajiwa hapo awali
Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya waanza
Mataifa ya Uholanzi na Uingereza leo hii yanafungua uwanja wa mapambano katika uchaguzi wa bunge jipya la Umoja wa Ulaya. Mataifa mengine yatafuata mkondo huo na matokeo yatatolewa jumapili.
Boko Haram yauwa watu wengine 300
Kundi la Boko Haram nchini Nigeria limeuwa watu wengine zaidi ya 300 kaskazini mwa nchi, na nchi zaidi zenye nguvu duniani, zikiwemo Marekani na China zimejiunga na juhudi za kuwatafuta wasichana waliochukuliwa mateka.
Putin atoa mwito wa kuahirisha kura ya maoni,Hague azikaanga mbuyu
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza William Hague amesema Urusi inawatumia wapiganaji wa siri na inaendesha Propaganda ya kiwango kikubwa kwa lengo la kuzuia kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Ukraine
Angela Merkel ziarani Marekani
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel leo anaanza ziara nchini Marekani ambako atakutana na rais wa nchi hiyo, Barack Obama. Agenda ya mazungumzo yao itajikita zaidi katika mzozo wa Ukraine unaofukuta
Vikwazo vya Ulaya kwa Urusi sio vikali
Vikwazo vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya vya marufuku ya viza na uzuwiaji wa mali dhidi ya Urusi vinaonekana kuwa sio vikali kulinganishwa na vile vilivyowekwa na Marekani dhidi ya nchi hiyo.
Urusi yaondowa vikosi vyake mpakani na Ukraine
Urusi imeviondowa vikosi vyake mpakani na Ukraine na kuihakikishia Marekani kwamba haitoivamia Ukraine hatua ambayo inakuja wakati Marekani na Umoja wa Ulaya zikiiwekea vikwazo vipya Urusi kutokana na dhima yake Ukraine.
Hali bado yatisha Sudan Kusini
Navi Pillay yuko Sudan Kusini wakati ambapo nchi hiyo inazidi kukabiliwa na wimbi la mauaji huku sauti za kushutumu mauaji hayo zikiongezeka kusikika kutoka pembe zote za dunia
Obama azungumta tena na Putin kuhusu Ukraine
Rais Barack Obama wa Marekani amemtaka Rais Vladimir Putin wa Urusi kuyashinikiza makundi yenye kuiunga mkono Urusi yalioko Ukraine kusalimisha silaha zao wakati mzozo huo ukizidi kupamba moto. .
Marekani yaitishia vikwazo zaidi Urusi
Rais wa Marekani Barack Obama ametishia kuiwekea Urusi vikwazo zaidi, iwapo itazidi kuchochea mgogoro juu ya Ukraine, huku muda wa mwisho uliyotolewa na serikali mjini Kiev kwa wanaopenda kujitenga ukiisha Ijumaa.
Mkutano wa Ulaya na Afrika waanza Brussels
Mkutano wa kilele kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika unaanza leo katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels, ukihudhuriwa na wakuu wa nchi na serikali wapatao 70 kutoka Ulaya na Afrika.
Obama asifu msimamo mmoja dhidi ya Urusi
Rais wa Marekani Barack Obama amesifu ushirikiano baina ya nchi yake na nchi za Ulaya katika kukabiliana na changamoto za kimataifa, ikiwemo namna zilivyozishughulikia hatua za Urusi katika mgogoro wa Ukraine.
Ujerumani yasema EU huenda ikachukua hatua iwapo Urusi haitobadili msimamo wake
Ujerumani imesema Umoja wa Ulaya utajiepusha na malumbanao na Urusi kuhusu uvamizi wake katika eneo la Ukraine la Crimea, lakini Umoja huo utalazimika kujiandaa kuchukua hatua endapo Urusi haitobadili msimamo wake.
Cremea yatangaza kujiunga na Urusi
Umoja wa Ulaya na Marekani zimetangaza hatua za mwanzo dhidi ya Urusi kuhusiana na hali inayoendelea katika eneo la Cremea nchini Ukraine, ambalo limepiga kura kujiunga na Urusi.
Merkel anataka Uingereza imara ndani ya Umoja wa Ulaya
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameliambia bunge la Uingereza leo(27.02.2014) kuwa hayuko tayari kuahidi mageuzi makubwa katika Umoja wa Ulaya kwa ajili tu ya matakwa ya Uingereza.
Merkel atahitaji umakini ziara ya Uingereza
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anafanya ziara nchini Uingereza Alhamisi hii, ambako atapewa heshima ya kuyahutubia mabaraza mawili ya bunge la nchi hiyo, kabla ya kupata kikombe cha chai na Malkia Elizabeth baadaye.
Maoni: EU laazima iepuke majaribu
Kwa miaka kadha Umoja wa Ulaya umejaribu kuisogeza karibu Ukraine, lakini Viktor Yanukovych alikuwa akisita. Lakini sasa karata zimebadilika, na umoja huo unapaswa kucheza kwa tahadhari, anasema Christoph Hasselbach.
Mafuriko yazidi kuitesa Uingereza
Upepo mkali unaovuma kutoka Bahari ya Atlantiki umewakatia umeme maelfu ya raia wa Uingereza, ukiongeza fadhaa ya balaa kubwa kabisa la mafuriko kuiwahi kuikumba nchi hiyo kwa miaka 250.
CAR yataka wanajeshi zaidi wa kulinda amani
Hatua ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuidhinisha wanajeshi wa Umoja wa Ulaya kwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati imepokelwa vyema, lakini waangalizi wanasema idadi yao haitoshelezi kuhakikisha usalama unarejea.
Merkel azishambulia Marekani na Uingereza
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameonya leo(29.01.2014)kuwa nchi zinazofanya ujasusi kwa washirika wake wanahatarisha kuvunja uaminnifu, na kusababisha hali ambayo si salama badala ya kuimarisha usalama.
Umoja wa Ulaya waahidi kupeleka wanajeshi Afrika ya Kati
Mawaziri wa mambo ya kigeni wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana leo(20.01.2014) kutuma wanajeshi kusaidia kuimarisha usalama katika jamhuri ya Afrika ya kati.
Rais wa Mpito kuchaguliwa wakati ghasia zinaendelea CAR
Rais mpya wa mpito anatarajiwa kuteuliwa leo katika jamhuri ya Afrika ya kati, wakati mawaziri wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa pia kuidhinisha jeshi litakaloingilia kati kutoa usaidizi kwa ujumbe wa kulinda amani.
Mwanandondi Tyson apigwa marufuku kuingia Uingereza
Bingwa zamani wa uzito wa juu duniani Mike Tyson amepigwa marufuku kuingia nchini Uingereza kuzindua kitabu chake. Hatua hiyo inatokana na mabadiko katika sheria za uhamiaji.
Wataalamu wasifia makubaliano ya WTO
Shirika la biashara duniani WTO limekubaliana juu ya hatua za kuyawezesha masoko ya dunia kuwa huru, hataua ambayo wataalamu wa uchumu wanasema itaboresha uchumi wa dunia, lakini hatua zaidi zinapaswa kuchukuliwa.
Westerwelle akutana na waandamanaji Kiev
Shinikizo dhidi ya Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych linaendelea kushamiri baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Guido Westerwelle kukutana na waandamanaji wanaotaka nchi yao ifikie makubaliano na Umoja wa Ulaya
Ulaya kutumia majeshi kuzuwia wahamiaji
Umoja wa Ulaya unatafakari uwezekano wa kushirikisha vikosi vya wanajeshi kusini mwa bahari ya Mediterranean katika juhudi za kuzuwia wahamiaji haramu na wakimbizi kuingia barani Ulaya.
Ukraine: Baina ya ndoto na jinamizi
Miaka tisa tangu kile kilichofahamika kama mapinduzi ya rangi ya chungwa haijawahi kutokea maandamano makubwa kama yanayotokea hivi sasa nchini Ukraine.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wailalamikia Urusi
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameishutumu Urusi Ijumaa(29.11.2013)kwa kuingilia masuala ya ndani ya Ukraine baada yanchi hiyo kutupilia mbali makubaliano na Umoja wa Ulaya yenye lengo la kuivuta karibu na Umoja wa huo.
Mkutano wa Umoja wa Ulaya na mataifa ya mashariki waaza
Maafisa wa Umoja wa Ulaya pamoja na Ukraine wamesema leo(28.11.2013) kuwa mazungumzo ya mahusiano ya karibu na nchi hiyo yanaweza bado kufufuliwa baada ya mkutano wa siku mbili unaoanza leo.
Mkutano wa Umoja wa Ulaya waanza Lithuania
Mkutano wa Umoja wa Ulaya uliopangwa kuzivuta nchi sita zilizokuwa katika iliyokuwa Umoja wa Kisovieti kuelekea upande wa mataifa ya Ulaya unaaza rasmi leo mjini Vilnius nchini Lithuania.
Raia wa Mali wapiga kura licha ya hofu ya kutokea Ghasia
Raia wa Mali walijitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa bunge licha ya hofu kwamba uchaguzi huo ambao unaoonekana kuwa hatua ya mwisho ya kuwepo kwa utawala wa kikatiba huenda ukakumbwa na mashambulizi ya waasi.
Maoni ya wahariri
Pamoja na masuala mengine wahariri leo wanazungumzia juu ya madai kwamba Uingereza pia imekuwa inafanya upelelezi nchini Ujerumani kutokea kwenye ubalozi wake mjini Berlin.
Uingereza imeanza kubana uhuru wa vyombo vya habari?
Kwa waziri mkuu wa Uingereza tofauti baina ya mema na mabaya ipo wazi kabisa mithili ya usiku na mchana. Mashirika ya ujasusi yanapambana na magaidi na anaetoa habari zozote juu ya kazi za mashirika hayo ni adui.
Umoja katika ghadhabu
Baada ya madai ya kudukukuliwa kwa simu ya mkononi ya Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na idara ya usalama wa Taifa ya Marekani NSA, washiriki wa mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya wanataka hatua zichukuliwe.
Mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya
Viongozi wa serikali na nchi 28 za Umoja wa Ulaya wanakutana kwa siku mbili mjini Brussels ikiwa ni wiki kadhaa baada ya janga la kuangamia wakimbizi katika kisiwa cha Lampedusa.
Jose Manuel Barroso azomewa Lampedusa
Ujumbe wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya umezomewa na wakaazi, wakati ulipotembelea kisiwa cha Lampedusa siku ya Jumatano, kufuatia ajali iliyowauwa watu wanaokaribia 300.
Ziara ya Ujumbe wa baraza la Usalama la UN
Ujumbe wa maafisa 15 wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa wasema Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo isiweke matumaini makubwa sana katika brigedia maalum ya Monusco kumaliza vita mashariki ya nchi hiyo
Shambulio la Nairobi na jibu la walimwengu
Kwa mujibu wa viongozi wa serikali ya Kenya,wanamgambo wanaohusika na shambulio dhidi ya jengo la biashara mjini Nairobi ni wa nchi tofauti,ikiwa ni pamoja na Marekani.Korti kuu ya kimataifa imeahidi kusaidia
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 40 wa 50
Ukurasa unaofuatia