You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Merkel, Macron wasaini mkataba wa Aachen kuifufua EU
Mkataba huo unaahidi ushirikiano wa karibu zaidi kati ya mataifa hayo na kusafisha njia ya mageuzi ya Umoja wa Ulaya.
Mawaziri wa EU na AU-wazingatia uamuzi wa mahakama Congo
Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika waashiria kufanyakazi na rais mteule wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo
Ujerumani na Ufaransa kutia saini mkataba wa ushirikiano
ujerumani na Ufaransa kutia saini makubaliano ya kuimarisha urafiki baina ya nchi zao
Mkataba wa Urafiki kati ya Ujerumani na Ufaransa
Mkataba wa Urafiki kati ya Ujerumani na Ufaransa
Maysasa ataka mazungumzo na vyama vya upinzani kuhusu Brexit
Lakini May hakuzungumzia uwezekano wa kuongezewa muda wa miaka miwili kubakia Umoja wa Ulaya baada ya mwezi Machi.
Theresa May atoa wito kwa wapinzani kuhusu mpango wa Brexit
May alipata ushindi mdogo kwenye kura ya kutokuwa na imani naye
Wabunge wa Uingereza waiweka pabaya Ulaya
May anakabiliwa na kipindi kigumu kabisa kwenye historia yake ya kisiasa
Mwelekeo ni upi baada ya makubaliano ya Brexit kuangushwa?
Wabunge wa Uingereza Jumanne waliyakataa pakubwa makubaliano ya Waziri Mkuu Theresa May na Umoja wa Ulaya kuhusu Brexit.
Bunge la Uingereza kupiga kura ya Brexit
Bunge la Uingereza Jumanne litafanya kura ya kihistoria kuhusiana na mpango wa Uingereza wa Brexit.
Magazetini: Kura ya Brexit kuamua hatimaya Uingereza na EU
Wahariri wamezungumzia kuhusu kura ya Brexit, na mgogoro kati ya Uturuki na Marekani
Wabunge wa Uingereza waanza mjadala kuhusu mpango wa Brexit
Wabunge wa Uingereza wanaanza mjadala kuhusu mpango wa Waziri Mkuu Theresa May wa kuondoka katika Umoja wa Ulaya, Brexit
Umoja wa Ulaya washushiwa hadhi ya kidiplomasia Marekani
Uamuzi huo uliochukuliwa mwishoni mwa mwaka 2018 bila maafisa wa Umoja wa Ulaya kupewa taarifa, umekosolewa vikali.
Uingereza: Kura muhimu kupigwa kuamua mchakato wa Brexit
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May amewakabili wapinzani wa mpango wake juu ya Uingerezakujiondoa Umoja wa Ulaya,
EU, Mercosur kuunda kanda kubwa zaidi ya biashara duniani
Kanda ya Biashara ya Umoja wa Ulaya na Mercosur ndiyo itakuwa kubwa zaidi duniani baada ya makubaliano kufikiwa Fabruari
Uingereza: Manchester United yamfuta kazi Jose Mourinho
Klabu ya Manchester United imemfuta kazi kocha Jose Mourinho baada ya kuanza vibaya kwa msimu wao wa Ligi ya Premier
Matangazo ya Jioni 16.12.2018
Qatar yataka sheria za muungano wa mataifa ya Ghuba GCC zifanyiwe marekebisho. Umoja wa mataifa wahimiza ufanyike uchunguzi huru juu ya mauaji ya mwandishi Jamal Khashoggi. Waziri wa Uingereza akanusha habari juu ya kura nyingine ya maoni kuhusu Brexit
Magazetini: Theresa May anusurika kura ya kutokuwa na imani
Wahariri wameandika kuhusu ushindi wa Theresa May bungeni, shambulizi mjini Strasbuorg na mkutano wa mazingira wa UN
Theresa May apeleka kilio chake Brussels
Wabunge wa Uingereza wamegawika kwa kiasi kikubwa kutokana na mpango wa Brexit wa Theresa May
May anusurika kura ya kutokuwa na imani naye
Kiongozi huyo wa Uingereza anakabiliwa na kibarua kigumu kuhusu mchakato wa Uingereza kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya.
May akabiliwa na kura ya kutokuwa na imani
Mdahalo mkali washuhudiwa kati ya Waziri Mkuu Theresa May na kiongozi wa upinzani, Jeremy Corbyn, wa Labour.
Magazetini
Juu ya uamuzi wa makahama kuu ya Ulaya wahariri wansema benki ya Ulaya ilikuwa sahihi kununua hatifungani za serikali.
Wabunge wa Uingereza kupiga kura ya kutokuwa na imani na May
May ameapa kusimama kidete na kupigania mpango Brexit akisema mabadiliko ya uongozi yataeta migawanyiko zaidi.
Hatma ya makubaliano ya Brexit kujulikana mwezi Januari
Bunge la Uingereza kupiga kura iwapo litaidhinisha mpango wa Waziri Mkuu Theresa May kabla ya tarehe 21 January
Magazetini:Theresa May aahirisha mjadala wa Brexit Uingereza
Theresa May azuwia mjadala bungeni kuhusu Brexit
Theresa May kukutana na viongozi wa Ulaya kuzungumzia Brexit
Theresa May amezindua upya vita vyake vya kuokoa mpango wake wa kutaka Uingereza kujiondoa katika Umojawa Ulaya
Theresa May azidi kuonya kuhusu Brexit kabla ya kura bungeni
May anakishutumu chama cha upinzani cha Labour kutaka kuingia madarakani kwa kutumia suala la Brexit.
Je bunge la Uingereza litaupitisha mpango wa Brexit?
brexit
May atafuta uungwaji mkono katika Brexit
Wabunge wa Uingereza siku ya Jumanne wataanza siku tano za majadiliano kuhusu makubaliano ya Brexit.
Ujerumani na Uholanzi kuumana tena katika Euro 2020
Ujerumani na Uholanzi katika kundi moja la C Euro 2020
AU yaitaka EU kuondoa vikwazo dhidi ya Shadary
Umoja wa Afrika umesema kuondolewa kwa vikwazo kutasaidia kuelekea katika uchaguzi huru.
May aifafanulia Uingereza muafaka wa Brexit
May anaanza wiki mbili za kampeni za kitaifa za kuupigia debe muafaka aliosaini na Umoja wa Ulaya kuhusu Brexit
Bado May hajamalizana na Brexit
Kama bunge litaukataa mpango wa May na Umoja wa Ulaya, hatima ya kisiasa ya mwanasiasa huyo itakuwa mashakani.
Brexit na vizibao vya manjano magazetini
Brexit na vizibao vya manjano magazetini
May aanza kampeni ya kuunadi mkataba wa Brexit
Kiongozi huyo wa Uingereza anakabiliwa na mbinyo akijaribu kuunadi mpango huo wenye utata kwa taifa lenye mashaka
Viongozi wa Umoja wa Ulaya waidhinisha makubaliano ya Brexit
Viongozi wa Umoja wa Ulaya waidhinisha makubaliano ya Brexit
Umoja wa Ulaya umeidhinisha makubaliano ya Brexit
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameidhinisha makubaliano ya Brexit ya Uingereza kujiondoa katika umoja huo hapo mwakani.
May awaandikia Waingereza waraka wa Brexit
Viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya wakutana Brussels kujadili makubaliano ya Uingereza kuondoka ifikapo Machi 2019.
Sanchez yuko tayari kuchafua makubaliano ya Brexit
Uhispania yadai mkataba wa maandishi kutoka Uingereza kuhusu Gibraltar, kabla ya makubaliano ya mwisho ya Brexit.
Uingereza na EU zaafikia rasimu ya makubaliano kuhusu Brexit
Mzozo kuhusu eneo la Gibraltar kati ya Uingereza na Uhispania linatishia kukwamisha makubaliano hayo kutiwa saini.
Magazetini: Merkel akubaliana na mkataba wa uhamiaji wa UN
Merkel atambua mkataba wa Umoja wa mataifa wa uhamiaji na Trump aikingia kifua Saudi Arabia
Merkel asema ataunga mkono Uingereza kujitoa EU
Merkel kuunga mkono kujitoa kwa Uingereza katika Umoja wa Ulaya
May bado akabiliwa na kishindo cha Brexit
May anaamini anaweza kufanikiwa katika makubaliano yake na Baraza la Ulaya kabla ya kupelekwa bungeni kujadiliwa.
EU yaitaka Saudia kutoa ufafanuzi zaidi mauaji ya Khashoggi
Rais Donald Trump ambaye mshirika wake Saudi Arabia inakanusha amri ilitoka juu, bado anasitasita.
May awataka wapiga kura kuunga mkono mpango wake wa Brexit
Theresa May awataka wapiga kura nchini Uingereza kuunga mkono mpango wake wa Brexit
Theresa May azidi kuzongwa kuhusu Brexit
Mjadala mkali kuhusu kujitoa Uingereza kutoka Umoja wa Ulaya bungeni
May azidi kuandamwa
Waziri mkuu wa Uingereza, Theresa May amejaribu kuutetea muswada wa mpango wa Uingereza kujiondoa kwenye Umoja wa Ulaya.
Brexit, bado mtihani kwa Theresa May
Theresa May amekuwa katika harakati za kuunusuru mswada wa makubaliano
May autetea bungeni mpango wake wa Brexit
Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May anajaribu kuwashawishi wabunge kuhusiana na mpango wake, ulioimarishwa wa Brexit. Hayo ni wakati mawaziri wawili wakijiuzulu kutoka serikali yake
Uingereza: May aungwa mkono na mawaziri kuhusu Brexit
Theresa May avuka kiunzi cha baraza la mawaziri, asubiriwa na mlima bungeni
May ataka ridhaa ya baraza la mawaziri kuhusu Brexit
Upinzani mkali kutoka kwa wenzake serikalini na bungeni juu ya mpango huo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 29 wa 50
Ukurasa unaofuatia