You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
VAR ni gumzo Uingereza yatengeneza au yaharibu?
Badala ya kurahisisha mambo VAR Uingereza yazua gumzo
Wakenya wadai haki baada ya kupokonywa ardhi na Uingereza
Wakenya waitaka Uingereza kuomba radhi na kuwalipa kwa kuwapokonya ardhi miaka 85 iliyopita wakati wa ukoloni.
Kampeni za uchaguzi mkuu zaanza Uingereza
Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson anajiandaa kufungua rasmi kampeni kwa uchaguzi wa Disemba 12 inayokuja.
Wahamiaji 31 wagunduliwa kwenye lori Ufaransa
Tukio hili ni la pili ikiwa ni siku nne tu baada ya kuwakuta wengine wanane wakiwa kwenye lori lenye jokofu.
Johnson kushinikiza tena uchaguzi Uingereza
Serikali ya Uingereza kupendekeza tena uchaguzi wa mapema bungeni, licha ya kushindwa Jumatatu.
Brexit hadi Januari 31, 2020
Taifa hilo kuwa la kwanza kabisa kuanza mchakato huo wa kuondoka kwenye umoja huo wenye mataifa wanachama 28.
Nini hatma ya Brexit?
Baada ya kushindwa kwa Waziri mkuu Boris Johnson kwa mara nyingine bungeni suala la Brexit linazidi kuwa gumu
Umoja wa Ulaya huenda ukarefusha Brexit
Umoja wa Ulaya watafakari kuipa muda zaidi Uingereza kwa ajili ya Brexit
Johnson atishia kuachana na mpango wa Brexit
Wabunge wa Uingereza walikuwa wanayajadili makubaliano hayo, na watayapigia kura baadaye jioni hii.
Uingereza yatuma maombi EU kuchelewesha Brexit
.Wabunge hao wamedai kwamba wanahitaji muda zaidi wa kuyapitia ili kuyaelewa yaliyomo kwenye mpango huo.
Wabunge Uingereza wapiga kura kuchelewesha mpango wa Brexit
Wabunge wa Uingereza wanapiga kura kuchelewesha uamuzi wa mpango wa Brexit wa Waziri Mkuu Boris Johnson.
Maoni: Mchakato wa Brexit Je safari hii Bunge litauridhia?
Katika maoni yake mwandishi wetu wa DW Barbara Wesel anasema mivutano kuhusu Brexit bado ipo nchini Uingereza.
Hali kuwa tata wabunge wa Uingereza wakikataa mkataba
Jean-Claude Juncker ameonya hali kuwa tata iwapo wabunge wa Uingereza watashindwa kupigia kura mkataba wa Brexit.
Bunge la Uingereza kujadili Makubaliano mapya
Bunge la Uingereza kujadili Makubaliano mapya Jumamosi
Wajumbe wakwama kwenye mazungumzo ya Brexit
Mkutano wa kilele wa wakuu wa Umoja wa Ulaya umepangwa kufanyika alhamisi na ijumaa kutazama kilichofikiwa
Brexit kizungumkuti. Malkia alifungua bunge.
Wanadiplomasia wa Umoja wa UIaya wanasema bado hakuna dalili ya makubaliano kamili ya Brexit kufikiwa wiki hii.
Uingereza huenda ikaomba muda zaidi wa mchakato wa Brexit
Johnson huenda akaomba kuongezwa muda wa mchakato wa Brexit iwapo makubaliano hayatafikiwa hadi Octoba 19.
Makubaliano ya Uturuki na EU yanaweza kuimarishwa?
Waziri wa mambo ya ndani wa Ujeruman anazitembelea Uturuki na Ugiriki, wakati hali ya kambi za wakimbizi ikidorora
Wabunge wausasambua mpango wa brexcit wa Boris Johnson
Waziri mkuu Boris Johnson ashikilia msimamo wake wa kutaka kuiondowa Uingereza Umoja wa Ulaya Oktoba 31 kivyovyote vile.
Tanzania yaendelea kukanusha uwepo wa Ebola nchini humo
Wizara ya afya nchini Tanzania imesema katika sampuli zilizopimwa mwezi Septemba hakukuwa na virusi vya Ebola.
Boris Johnson aelekea bungeni na mpango wake mpya
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameuzungumzia kwa hisia mchanganyiko mpango huo mpya uliorekebishwa kuhusu suala la mpaka
Johnson agoma kujiuzulu baada ya pigo la mahakama ya juu
Baada ya mahakama ya juu kusema kuahirisha bunge kulikuwa kinyume cha sheria, Boris Johnson amegoma kujiuzulu
Johnson ahoji malipo makubwa kwa wakurugenzi wa Thomas Cook
Boris Johnson amehoji sababu ya viongozi wa Kampuni ya Thomas Cook kujilipa fedha nyingi wakati ikielekea kufilisika
Hakuna makubaliano kati ya Eu na Uingereza kuhusu Brexit
Mazungumzo kuhusu Brexit yatarajiwa kushika kasi wiki nzima
Serikali ya Uingereza yachapisha athari za kukosa mkataba
Brexit inatarajiwa kuibua machafuko ya kijamii na huenda yakatumia raslimali nyingi za idara ya polisi.
Dunia yampinga Netanyahu kuuchukuwa Ukingo wa Magharibi
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ikisema kuwa huenda huo ukawa mwisho wa mchakato wa amani kati ya Waarabu na Israel.
Kuaga kwa Spika na mgogoro wa bunge
John Bercow alikuwa mlezi wa bunge la Uingereza, ambalo halijawahi kushambuliwa kama ilivyotokea chini ya Boris Johnson.
Serikali ya Uingereza yaahirisha bunge lake kwa wiki tano.
Uingereza imeahirisha vikao vyake vya bunge na kuwapa wabunge likizo ya wiki tano huku mzozo wa Brexit ukiendelea.
Boris Johnson akutana na Leo Varadkar kuhusu Brexit
Boris Johnson amekutana na mwenzake wa jamhuri ya Ireland Leo Varadkar katika juhudi za kuuokoa mpango wa Brexit
Uingereza: Yanayojiri kwenye changamoto za Brexit
Johnson asema bora kutumbukia ndani ya korongo na kufa kuliko kwenda Umoja wa Ulaya kuomba kuongezewa muda wa Brexit.
Waziri mkuu Uingereza Boris Johnson akimbiwa na kakaake
Boris Johnson sasa yuko mbioni kutafuta mikakati mipya ya kushinikiza uchaguzi mkuu wa mapema ufanyike
Wabunge nchini Uingereza wamuangusha tena Boris Johnson
Vuta ni Kuvute kati ya waziri mkuu Johnson na wanaompinga yaendelea baada ya kushindwa kwake bungeni ataka umma umsaidie
Wabunge wa Uingereza waamua hakuna uchaguzi wa mapema
Pia wapitisha muswada wa kupinga Brexit iiyo na makubaliano
Uingereza njia panda: Brexit ama uchaguzi
Bunge la Uingereza linajadili muswada wa kuzuia uwezekano wa kuondoka Umoja wa Ulaya bila makubaliano.
Boris Johnson na Zahma ya Brexit Magazetini
Boris Johnson na Zahma ya Brexit Magazetini
Wabunge Uingereza wajipanga kumdhibiti Waziri Mkuu Johnson
Kura hiyo inamaanisha pia kwamba uchaguzi wa mapema si jambo lisilowezekana tena.
Johnson apata pigo kura ya kuzuia Brexit ya bila makubaliano
Waziri mkuu Johnson huenda akaitisha uchaguzi wa mapema
Uingereza: Wabunge kupiga kura kuchelewesha tena Brexit
Bunge la Uingereza limeanza shughuli zake leo Jumanne baada ya mapumziko ya kipindi cha kiangazi.
Kiongozi wa Hong Kong Carrie Lam akanusha kutaka kujiuzulu
Wanafunzi waingia siku ya pili ya mgomo
Boris Johnson anajiandaa kuitisha uchaguzi?
Vyombo vya habari vya Uingereza vinasema Waziri Mkuu Borris Johnson anajitayarisha kuitisha uchaguzi
London: Maalfu kuandamana kupinga kusimamishwa bunge
Hatua ya Waziri MKuu Boris Johnson ya kusimamisha Bunge yakabiliwa na chanagmoto za kisheria mahakamani.
Hali ya kisiasa yazidi kuwa ngumu Uingereza
Kesi ya kisheria ya kuzuwia uamuzi wa Johnson waahirishwa
Wapinzani Uingereza wakimbilia mahakamani kumpinga Boris
Brexit yazidi kuigawa Uingereza
Boris Johnson aamua bunge lisitishe vikao kwa muda
Baadhi ya viongozi wataka Boris adhibitiwe la sivyo demokrasia ya Uingereza itakuwa mashakani
Brexit,Greenland na Mgogoro wa Italia Magazetini
Brexit,Greenland na Mgogoro wa Italia Magazetini
Merkel, Johson wazungumzia matumaini ya muafaka Brexit
Macron amepinga mapendekezo ya Johnson kufungua upya majadiliano ya Brexit, akisema hilo ni suala lisilokuwepo kwa sasa.
Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson asubiriwa Berlin
Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson asubiriwa Berlin
Brexit: Corbyn apanga kura ya kutokuwa na imani na serikali
Joto la Brexit lazidi kufukuta katika siasa za Uingereza
Sudan: Maandamano yazaa vuguvugu la kugombea uongozi
Waandamanaji na wanajeshi wa Sudan wamefikia makubaliano. Lakini Je! waliyafikiaje mapatano hayo?
Ujerumani yagawika juu ya kuikabili Iran
Iran bado iko kwenye mgogoro mzito na Uingereza na washirika wake kuhusu kutekwa kwa meli
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 26 wa 50
Ukurasa unaofuatia