You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Marekani yataka Iran iwekewe upya vikwazo
Marekani imeufahamisha rasmi Umoja wa Mataifa kuhusiana na matakwa yake ya vikwazo vyote vya Umoja huo kwa Iran virudish
Upinzani: EU usiutambue uchaguzi wa Belarus
Upinzani: EU usiutambue uchaguzi wa Belarus
EU yatarajiwa kuwawekea vikwazo maafisa wa Belarus
Viongozi wa EU watarajiwa kuwawekea vikwazo maafisa wa Belarus wanaoshutumiwa kuhusika katika ghasia za uchaguzi
Hakutakuwa na uchaguzi mpya asema rais wa Lukashenko
Lukashenko amesema hakutakuwa na uchaguzi mpya wa urais licha ya miito ya kufanya hivyo kutoka kwa upande wa upinzani.
Uturuki yatuhumu 'hatua za ubabe'' za Ufaransa
Wawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamekutana ili kuujadili pia mzozo huo baina ya Ugiriki na Uturuki.
Kiongozi wa upinzani wa Belarus akimbilia nchini Lithuania
Svetlana Tikhanovskaya, anayepinga kuchaguliwa tena kwa rais Alexander Lukashenko,amekimbilia nchini Lithuania.
Uturuki yaikosoa Ujerumani kuhusu Libya
Uturuki imeikosoa Ujerumani kuhusu utekelezaji wa kikwazo cha silaha kilichowekewa Libya.
China yasimamisha ushirikiano wa kisheria na nchi kadhaa
China imetangaza kuwa inasimamisha mkataba wa kubadilisha wahalifu kama ulipizaji kisasi kwa maamuzi ya nchi hizo.
Mazungumzo baina ya Marekani na Urusi kuhusu usalama wa anga
Mazungumzo hayo ya siku moja yatafuatiwa na kikao kuhusu udhibiti wa silaha za nyuklia baina ya nchi mbili hizo.
Uingereza kusitisha mkataba wa kubadilishana watuhumiwa
Serikali ya Uingereza tayari imekosoa vikali uamuzi wa China wa kuanzisha sheria hiyo mpya ya usalama kwa Hong Kong.
Mpango wa EU wa kufufua uchumi unaelekea kufikiwa
Kansela Angela Merkel na rais Emmanuel Macron wameelezea matumaini ya kufikiwa makubaliano ya mpango wa uokozi.
Mkutano wa kilele wa EU waingia siku ya tatu
Majadiliano marefu ya siku mbili -- Ijumaa na Jumamosi -- mjini Brussels yalimalizika bila kuwepo muafaka
Viongozi wa EU waendelea na mkutano wao uliojaa "hamaki"
Viongozi wa Umoja wa Ulaya bado hawajakubaliana na mapendekezo ya bajeti ya Umoja huo pamoja na mfuko wa uokozi
Mkutano wa viongozi wa Ulaya waingia siku ya pili
Mazungumzo marefu ya Ijumaa mjini Brussels yaliendelea hadi usiku bila kufikia muafaka kuhusu mpango huo
Viongozi wa EU wajaribu kupata muafaka wa ufufuaji uchumi
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wapiga vichwa kupata muafaka wa mfuko wa kufufua uchumi barani humo
Viongozi wa EU wakutana kujadili mfuko wa ufufuaji uchumi
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakutana katika mkutano wao maalum utakaoamua mambo muhimu katika Umoja huo
Urusi yatuhumiwa kuiba utafiti wa chanjo ya corona
Hayo ni wakati Brazil ikitangaza kuwa idadi yake iliyothibitishwa ya maambukizi imepindukia milioni mbili
Covid-19: EU yawataka wananchi wake kupewa chanjo ya mafua
Ikiwa chanjo ya mapema itapatikana,wananchi wa Umoja wa Ulaya watapewa chanjo dhidi ya mafua kwenye msimu huu wa joto.
Umoja wa Ulaya kuzungumza na Uturuki
Umoja wa Ulaya umekuwa ukiandaa pia vikwazo dhidi ya China kufuatia sheria mpya ya usalama kuhusu Hong Kong.
Jumuiya ya kimataifa ya toa wito wa utulivu Mali
Jumuiya ya kimataifa imetowa wito wa kuachiwa huru viongozi wa maandamano katika juhudi za kupunguza ghasia.
Merkel na Rutte wajadili mageuzi ya Ulaya
Viongozi wa Ujerumani na Uholanzi wanapambana juu ya mageuzi ya Ulaya wakati kukiwa na mlipuko wa virusi vya Corona.
Marekani yaathirika zaidi na virusi vya corona
Marekani yazingirwa na janga la virusi vya corona
EU yaruhusu wasafiri kutoka mataifa 14 salama
Wasafiri kutoka Marekani watasubiri bado hadi hali itakaporeka nchini mwao ambako hivi sasa mambukizi yanazidi.
Uingereza ina wasiwasi juu ya sheria mpya ya China
Carrie Lam aitetea sheria ya usalama wa taifa ya China kwenye Umoja wa Mataifa
Polisi yachunguza bango "maisha ya weupe ni muhimu"
Tukio hilo lilitokea wakati wa kuanza kwa mechi ya soka kati ya Manchester City na Burnley.
Shirika la IAEA limeitaka Iran kushirikiana haraka
Mwito huo wa Rafael Grossi kwa Iran ulitolewa kufuatia mkutano mjini Vienna wa baraza la magavana wa shirika la IAEA.
Covid-19: Nchi za Ulaya zaondoa zafungua mipaka
Ujerumani na Ufaransa ziliondoa usiku wa kuamkia jumatatu vizuizi vyao kwenye mipaka.
Fainali ya FA kubatizwa jina la "Heads up" kwa afya ya akili
fainali ya kombe la FA nchini Uingereza kubatizwa jina la Heads Up kutoa uelewa kwa afya ya akili
Ujumbe wa EU wafika Goma kupambana na COVID-19 na Ebola
Lengo la ujumbe huo ni kusaidia katika vita dhidi ya virusi vya corona na ugonjwa wa ebola nchini Congo
Mkutano wa kilele wa EU-China: Nini hasa kilichotokea?
Mkutano wa kilele wa EU-China: Nini hasa kilichotokea?
Wahamiaji waliokolewa wakwama kwenye meli za kitalii Malta
Wahamiaji zaidi ya 400 wanaendelea kuzuwiliwa kwenye eneo la bahari karibu na Malta,wengi wao kwa wiki kadhaa sasa.
Umoja wa Mataifa waonya kuwa hali Yemen ni ya lala salama
UN na Saudi Arabia zimeitisha mkutano wa kimataifa kuisaidia Yemen kukabiliana na janga la COVID-19.
Merkel: Ujerumani imefaulu mtihani wa janga la corona
Merkel anatumai kuendelea kupunguza vikwazo vya kuzuia kuenea maambukizi hayo.
Uingereza na Italia zapanga kuanza ligi zao
Uingerea na Italia zapanga kuanzisha tena ligi zao, Ujerumani tayari inaendelea, Ligi Kuu Ufaransa yapigwa teke.
Bunge la China lapitisha pendekezo la sheria ya usalama
Pendekezo hilo lililopigiwa kura bungeni linakuja saa chache baada ya Marekani kufuta hadhi maalumu kwa Hong kong
Idadi ya vifo vya corona yapindukia 290,000 duniani
Janga la virusi vya corona sasa limesababisha zaidi ya vifo 290,000 kote duniani kulingana na shirika la habari la AFP.
Vikwazo vyaanza kulegezwa Ulaya, New York
Virusi vya corona vimewauwa zaidi ya watu 283,000 kote duniani tangu mripuko kutokea China mwezi Disemba. Zaidi ya visa
Awamu ya tatu ya mazungumzo ya kibiashara ya Brexit yaanza
Uingereza na Umoja wa Ulaya zaanza awamu ya tatu ya mazungumzo ya kibiashara matumaini ya mwafaka yakiwa madogo
Dunia yaadhimisha Vita Vikuu vya Pili katikati ya COVID-19
Sherehe za kuadhimisha miaka 75 tangu kumalizika kwa Vita vya Pili vya Dunia zimefanyika kimya kimya kutokana na korona.
Trump: Athari za COVID-19 ni zaidi ya mkasa wa Septemba 11
Rais wa Marekani kwa mara nyingine ameishambulia China kwa jinsi ilivyoshughulikia mlipuko wa virusi vya corona
Ujerumani kuifanyia mageuzi sera ya misaada ya maendeleo
Burundi ni moja kati ya nchi zitakazoondolewa kwenye orodha ya nchi zinazopewa misaada na Ujerumani.
Uingereza na Marekani zajadili bishara huria
Mazungumzo hayo yamefanyika kupitia njia ya mtandao kila upande ukiwakilishwa na wapatanishi mia moja.
Uingereza yaongoza kwa vifo vingi vya COVID-19 Ulaya
Uingereza ni nchi ya kwanza barani Ulaya kutangaza vifo zaidi ya 30,000 kutokana na virusi vya korona.
Mabilioni kuchangwa kwa ajili ya kutafuta chanjo ya corona
Ahadi hiyo imetolewa kwenye mkutano ulioitishwa na Halmashauri ya Umoja wa Ulaya uliofanyika kwa njia ya video.
Waziri Mkuu wa Uingereza arejea kazini
Boris Johnson amesema Uingereza imeanza kupata mafanikio kwenye mapambano yake dhidi ya COVID-19
Jumuiya ya Madola yaahirisha mkutano kutokana na corona
Mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola uliokuwa ufanyike Rwanda umeahirishwa kutokana na virusi vya corona.
Boris Johnson akabiliwa na shinikizo kuhusu janga la Corona
Boris Johnson akabiliwa na shinikizo kuhusu janga la Corona
Covid-19: Merkel aonya dhidi ya kuondoa vizuwizi kwa pupa
Zaidi ya watu milioni 2.4 wameambukizwa ugonjwa wa covid-19 na umesababisha vifo zaidi ya 165,000.
EU: Hali nchini Msumbiji inatia wasiwasi
Umoja wa Ulaya umesema unatiwa wasiwasi mkubwa na kuongezeka kwa ghasia zenye misingi ya kijihadi nchini Msumbiji.
WHO: Visa vya maambukizi vyapungua Italia na Uhispania
Idadi ya vifo imepungua kwa mara ya kwanza mwezi huu nchini Iran.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 24 wa 50
Ukurasa unaofuatia