You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Brexit
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Wenye mzio wadhurika na chanjo ya Pfizer, Uingereza
Robert koch yaripoti visa vipya 16,362, ikiwa ni ongezeko la visa 4,000 zaidi ikilinganishwa na wiki iliyopita.
Ujerumani huenda isiondoe zuio la COVID-19 Januari 10
Mkuu wa utumishi wa ofisi ya Merkel amesema hatua ya kuzifunga shughuli za umma huenda zisiondolewe Januari 10.
Brexit: Umoja wa Ulaya na Uingereza kuendelea na mazungumzo
Von der Leyen amesema hayo leo baada ya kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson
12.12.2020 - Taarifa ya Habari za Asubuhi
Uingereza imetangaza kusitisha ufadhili kwa sekta ya mafuta ya petroli.
Ulimwengu waadhimisha miaka mitano ya mkataba wa Paris
Viongozi wa dunia wanaadhimisha miaka mitano ya mkataba wa kihistoria wa mabadiliko ya tabianchi wa mjini Paris.
Viongozi wa EU wamaliza mvutano kuhusu bajeti
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamefikia makubaliano kuhusu bajeti ya muda mrefu na mpango wa uokozi wa uchumi.
Mustakabali wa mazungumzo ya Brexit kujulikana Jumapili
Mazungumzo hayo yanakabiliwa na mkwamo kufuatia masuala muhimu ambayo yanaibua tofauti baina ya pande hizo mbili.
Merkel: Uwezekano wa mkataba wa Brexit bado upo
Boris Johnson anatarajiwa kusafiri hadi Brussels kwa mazungumzo ya dakika ya mwisho
Uingereza imeanza kutoa chanjo ya Covid-19
Ujerumani kujadili upya vikwazo zaidi vinavyonuia kuzuia kusambaa kwa Covid-19
Johnson kwenda Brussels kwa mazungumzo zaidi ya Brexit
Taarifa yao ya pamoja hapo jana Jumatatu imesema kwamba masharti ya makubaliano bado hayajafikiwa.
Mkwamo wa Brexit waendelea kati ya EU na Uingereza
EU na Uingereza bado katika mkwamo kuhusu Brexit
Uingereza yakamilisha maandalizi utoaji chanjo ya COVID-19
Chanjo ya virusi vya corona ambayo imetengenezwa na kampuni za Pfizer-BioNTech sasa inasambazwa nchini Uingereza.
Uingereza na Umoja wa Ulaya kurejea mezani
Karata ya mwisho ya kusaka makubaliano ya kibiashara
Uingereza kuwa taifa la kwanza kutumia chanjo ya Covid-19
Uingereza kuwa taifa la kwanza kutumia chanjo ya Covid-19
Wanaharakati machachari Hong Kong wafungwa
Hong Kong iligubikwa na miezi saba ya maandamano makubwa kabisa ya machafuko wakati mamilioni walipoingia mitaani.
Uingereza haitabadilisha msimamo kuhusu Brexit
Masuala tata ni pamoja na haki za uvuvi, misaada ya serikali kwa makampuni ya biashara na sheria za kutatua mizozo yao
Mipango ya uhusiano wa EU na Afrika yasambaratika
Kwenye makala ya Mwangaza wa Ulaya, leo hii tunatazama namna mipango ya kuratibu upya uhusiano baina ya Umoja wa Ulaya na Afrika ambayo ilitarajiwa kufanyika mwaka huu ilivyosambaratika. Na janga la virusi vya corona sio sababu pekee ya mkwamo huo. Mtayarishaji na msomaji ni Daniel Gakuba.
NATO, EU wamwalika Biden kujenga upya uhusiano na Marekani
NATO, EU wamtaka Biden kujenga upya uhusiano na Marekani
EU kuzishinikiza Poland na Hungary kuhusu hatma ya bajeti
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanawashawishi wenzao wa Hungary na Poland kuondoa pingamizi la kuidhinishwa bajeti.
EU kimya kuhusu migogoro ya kisiasa Afrika Magharibi
Waafrika Magharibi wanatumai kupata msaada wa kigeni, lakini Umoja wa Ulaya umejiweka kando
Corona yaendelea kulisakama bara la Ulaya na Marekani
Ujerumani imethibitisha maambukizi mapya zaidi ya 21,000 ndani ya siku moja, kiwango cha juu kuwahi kushuhudiwa.
Maambukizi mapya ya Covid-19 yavunja rekodi Ulaya,Marekani
Marekani yavunja rekodi ya maambukizi, Huku Ulaya ikiwa na wasiwasi kutokana na wimbi la pili la ugonjwa wa Covid -19.
Janga la COVID-19 laiweka Ulaya njiapanda
Mataifa ya bara la Ulaya yameendelea kuzidisha makali ya hatua za kukabiliana na janga la virusi vya corona.
Umoja wa Ulaya, Uingereza zarejea kwenye meza ya mazungumzo
Wajumbe wa timu za upatanishi kutoka Uingereza na Umoja wa Ulaya wamekutana kuukwamuwa mkwamo uliopo.
EU yaendelea kuyafanyia kazi makubaliano mapya ya Brexit
Hayo ni wakati ambapo mashaka yanaongezeka katika mazungumzo hayo tete kuelekea muda wa mwisho, mwishoni mwa mwaka huu
Umoja wa Ulaya umewawekea vikwazo maafisa sita wa Urusi
EU na Uingereza zimetangaza vikwazo dhidi ya raia sita wa Urusi, kuhusu kupewa sumu kiongozi wa upinzani Urusi Navalvy.
Viongozi wa EU wakubaliana ushirikiano wa wazi na Uingereza
Na umoja huo uko tayari kusitisha mazungumzo ya kibiashara yenye thamani ya euro trilioni kadhaa
COVID-19 na Brexit kujadiliwa na viongozi wa Umoja wa Ulaya
Kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona barani Ulaya kumezusha majadiliano mjini Brussels.
Ufaransa yahimiza umoja katika mazungumzo na Uingereza
Wito huo wa Ufaransa umetolewa kabla ya mkutano wa kilele wa viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya baadaye wiki hii
EU ina wasiwasi na hatma ya mapigano Nagorno Karabakh
Umoja wa Ulaya una wasiwasi wake kuhusiana na ukiukaji makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Armenia na Azerbaijan
Ufaransa, Ujerumani, Uingereza zataka Urusi iwekewe vikwazo
Nchi hizo zimetishia kuwawekea vikwazo vya Umoja wa Ulaya maafisa wa Urusi waliohusika na mkasa huo
Ongezeko la maambukizi ya Corona latia hofu Ujerumani
Maambukizi mapya ya virusi vya corona yatia hofu nchini Ujerumani , maambukizi yamepindukia 4,000.
Ufaransa na Uingereza zashuhudia ongezeko la corona
India pia imerekodi maambukizi mengi mapya ya watu 75,829 ndani ya saa 24 zilizopita.
EU: Mapigano ya kuwania Karabakh yasitishwe
Viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya wametowa mwito wa kusitishwa mapigano kati ya majirani wawili, Azerbaijan na Armenia.
Umoja wa Ulaya na hatua za kisheria dhidi ya Uingereza
Umoja wa Ulaya wachukua hatua za kisheria dhidi ya Uingereza
Ari ya kibiashara imeimarika Ujerumani na Ufaransa
Nia ya kibiashara nchini Ujerumani na Ufaransa imeimarika kwa mwezi wa tano mfululizo mnamo mwezi huu wa Septemba.
Umoja wa Ulaya watangaza mpango wa kugawa waomba hifadhi
Umoja wa Ulaya umependekeza kwamba mataifa wanachama yagawane jukumu la waomba hifadhi chini ya utaratibu wa mshikamano.
EU kupendekeza mageuzi ya mfumo wa uhamiaji, wakimbizi
Halmashauri Kuu ya Ulaya inapendekeza mageuzi ya mfumo wa uhamiaji na wakimbizi wa Umoja wa Ulaya.
Bunge la Uingereza laridhia muswada tata wa Boris Johnson
Bunge la Uingereza laidhinisha muswada tata wa Waziri Mkuu Johnson
Milioni 30 waambukizwa virusi vya corona duniani
Shirika la Afya Duniani linasema kiwango cha maambukizo barani Ulaya kinatia wasiwasi.
Lukashenko kukabiliwa na vikwazo vya EU?
Maafisa wanaolengwa na vikwazo hivyo ni pamoja na rais Alexander Lukashenko wa Belarus aliyerejea madarakani.
Mataifa makubwa yaitenga Marekani kuiwekea vikwazo Iran
Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zimekataa kukubaliana na hatua ya Marekani kurejesha vikwazo dhidi ya Iran.
Polisi yaanza kuwahamisha wakimbizi kisiwani Lesbos
Zoezi hilo linalenga kuwapeleka wakimbizi hao hadi kambi ya muda ilioyoko katika eneo la Kara Tepe kisiwani Lesbos.
Maoni: Mkutano wa kilele kati ya Ulaya na China wakosa tija
Mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya China wamalizika bila mafanikio makubwa
Umoja wa Ulaya, China kufanya mkutano wa kilele
Ulaya inafanya mkutano na China, ikiwa ya kibarua kwa kulinda maslahi ya kibiashara bila kutelekeza haki za binadamu
Viongozi wa EuroMed7 wako tayari kwa vikwazo kwa Uturuki
Viongozi wa EuroMed7 wako tayari kuunga mkono vikwazo vya EU dhidi ya Uturuki
EU, Uingereza zafanya kikao cha dharura
Kuna wasiwasi mkubwa kutoka kwa EU hatua ya Uingereza inatishia kuvunja nia yoyote ya kufikia makubaliano ya kibiashara
Umoja wa Ulaya waionya Uingereza kuhusu mktaba wa Brexit
EU yaionya Uingereza kuhusu wajibu wake wa kuheshimu makubaliano ya kujiondowa baada ya London kunuwiya mabadiliko.
Mpango wa Uingereza wa Brexit waibua wasiwasi Umoja wa Ulaya
Umoja wa Ulaya una wasiwasi na mazungumzo ya Brexit
Ujerumani, Ufaransa na Uingereza kupambana na ugaidi Mali
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Florence Parly alisema wataendeleza mapambano dhidi ya ugaidi huko Mali
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 23 wa 50
Ukurasa unaofuatia